Hujui thamani ya uislam ndio maana. Unalala baa ukiamkia baaMental case.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui thamani ya uislam ndio maana. Unalala baa ukiamkia baaMental case.
Utawala wa kigaidi wa Iran hauna huu uwezo kwani kipigo kwake gaidi Iran kitakuwa kikubwaUtawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.
Wamechezewa akili hadi wanajiingiza motoni.Ngoja tuone ni nani atakayetoka anavuta kamasi kwa uchovu wa kipigo/the real beatings of a lifetime!"Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.
Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”
Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.
Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Anahamu ya kuwauwa raia wake na wengine kuwafanya wakimbiziUtawala wa kigaidi wa Iran hauna huu uwezo kwani kipigo kwake gaidi Iran kitakuwa kikubwa
Alisika mlevi mmoja akiwakumbusha walevi wenzie jinsi mataifa zaidi ya matano yanayoizunguka Israel yalivyokandwahumu kuna walevi wana amini israel ni taifa teule hawezi bondwa
atakandwa na hamta amini
😅😅ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Alisika mgonjwa wa malaria yaliyopanda kichwani akiwalazimisha dunia nzima wawe waislam kwa lazimaBora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Unajua maana ya Savings wewe?? Savings inatumika zaidi kwenye hali ngumu zaidi, Sasa hawawezi kutumia sasa hivi wakati mafuta yako bwelelee duniani huko. Nachokwambia makafir wamehifadhi mafuta ya kutosha sana zaidi ya miaka hata 100. Na Iran akiijiingiza tu atachezea kichapo ambacho hawatakisahau milele. Huyo Iran ndio alikua kibaraka wa US na Israel enzi za Shah wa Iran Mohamed Raza Pahlavi, na walipigana na Saddam Hussein wa Iraq kwa msaada wa US, kwahio wanamjua ndani nje.
Hakuna kitu kinaitwa Israel bila USA..Unajua hilo lakini mnasingizia God of Israel.Mnajua kabisa kwamba matajiri na Viongozi wengi USA mizizi yao ni uyahudi. NO WONDER vita kati ya Iran na Israel ni Kati ya USA ,NATO na Israel vs Iran. IRAN hawezi kusimama peke yake dhidi ya hao watu. Labda Mchina na Mrusi waingie ambao nao wana mambo yanawasumbua hasa Russia wanamsumbua sana kule kwa kutumia Ukraine sasa akija huku watamlabua kule waseme ni Ukraine inasonga mbele.ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Tusione mnakuja na Hashtags za FreeIranIsrael haiwezi pigana na Iran, haina huo uwezo.
Vita na Iran ni ngumu sana, hao jamaa wana proxies wengi kuliko hata jeshi la IDF.
Kutangaza vita na Iran ni kutangaza vita na hivyo vikundi ikiwepo Hamas ambao kwa kutumia silaha za kienyeji wameweza kuaibisha jeshi la Israel bado Hezbollah, houthi, Islamic jihad n.k jamaa middle east wana vikundi vingi hapo hatujaweka jeshi kamili la Iran.