Vita sasa inaanza rasmi: Kiongozi Mkuu wa Iran ameamuru jeshi kuiadhibu Israel

Vita sasa inaanza rasmi: Kiongozi Mkuu wa Iran ameamuru jeshi kuiadhibu Israel

"Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.

Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”


Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.


Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Wamechezewa akili hadi wanajiingiza motoni.Ngoja tuone ni nani atakayetoka anavuta kamasi kwa uchovu wa kipigo/the real beatings of a lifetime!
 
  • Thanks
Reactions: 511
Iran hata miaka 1000 ijayo Iran haezi mpiga Israel.
 
  • Thanks
Reactions: 511
ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
😅😅
 
Unajua maana ya Savings wewe?? Savings inatumika zaidi kwenye hali ngumu zaidi, Sasa hawawezi kutumia sasa hivi wakati mafuta yako bwelelee duniani huko. Nachokwambia makafir wamehifadhi mafuta ya kutosha sana zaidi ya miaka hata 100. Na Iran akiijiingiza tu atachezea kichapo ambacho hawatakisahau milele. Huyo Iran ndio alikua kibaraka wa US na Israel enzi za Shah wa Iran Mohamed Raza Pahlavi, na walipigana na Saddam Hussein wa Iraq kwa msaada wa US, kwahio wanamjua ndani nje.
 
Iran anasubiriwa sana, ingekuwa kapigwa na USA tayari angeshakinukisha Iraq pale
 
ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Hakuna kitu kinaitwa Israel bila USA..Unajua hilo lakini mnasingizia God of Israel.Mnajua kabisa kwamba matajiri na Viongozi wengi USA mizizi yao ni uyahudi. NO WONDER vita kati ya Iran na Israel ni Kati ya USA ,NATO na Israel vs Iran. IRAN hawezi kusimama peke yake dhidi ya hao watu. Labda Mchina na Mrusi waingie ambao nao wana mambo yanawasumbua hasa Russia wanamsumbua sana kule kwa kutumia Ukraine sasa akija huku watamlabua kule waseme ni Ukraine inasonga mbele.

So Iran anapaswa kuacha tu apige mkwara atulie aendelee na harakati zake za kuimarisha Bomu lake la Nuclear siku akilipata hamna kenge atamsogelea.

Sasa kama aliuwawa Qassim Soleyman wakatulia leo hii kwanini waanze vita ambayo wanajua wao ndio target kwa ajili ya Mohamed Reza?? Mtu akikuzidi nguvu muangalie tu...
 
UTAKIENI AMANI YERUSALEMU WAFANIKIWE WAKUPENDAO YERUSALEMU
3f535b59-7911-4eef-b6de-bb671f2215bd.jpg
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Israel haiwezi pigana na Iran, haina huo uwezo.
Vita na Iran ni ngumu sana, hao jamaa wana proxies wengi kuliko hata jeshi la IDF.
Kutangaza vita na Iran ni kutangaza vita na hivyo vikundi ikiwepo Hamas ambao kwa kutumia silaha za kienyeji wameweza kuaibisha jeshi la Israel bado Hezbollah, houthi, Islamic jihad n.k jamaa middle east wana vikundi vingi hapo hatujaweka jeshi kamili la Iran.
Tusione mnakuja na Hashtags za FreeIran
 
"siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. "

🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom