Vita sasa inaanza rasmi: Kiongozi Mkuu wa Iran ameamuru jeshi kuiadhibu Israel

Vita sasa inaanza rasmi: Kiongozi Mkuu wa Iran ameamuru jeshi kuiadhibu Israel

Tusione mnakuja na Hashtags za FreeIran
Hivi ukiachilia mihemko ya kidini what is so special about Israel? Mbona mnadanganywa sana ninyi?
Israel haina uwezo huo, mmeshuhudia Hamas kikundi cha migambo ikiwatia jamba jamba miezi yote hii kwenye gereza la Gaza.

Israel ina kipi cha kipekee zaidi ya story za six days war na operation Entebbe miaka hio ya kale?

Huwa nawashangaa sana.
 
"Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.

Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”


Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.


Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Siyo hilo tu, bali kwa UPUMBAVU WENU NYINYI WAISLAM MMEANZISHA VURUGU PIA JORDAN MKIWACHOCHEA WAPALESTINA WA HUKO WAVAMIE ISRAEL, MWISHO WENU SASA NDIYO MNAULETA KWENU NYINYI WENYEWE

View: https://x.com/Osint613/status/1775520305147957511?s=20
 
"siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. "

🤔🤔🤔
so glad you got that. wokovu ni wa muhimu, tuishi tukiukomboa wakati. shetani anavuna sana watu bila kuokoka. okokeni ndugu zangu.
 
Nini maana ya kuokoka au kuokoka inakuwajekuwaje?
WARUMI 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. 11Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
 
WARUMI 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. 11Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
Utaokoka inamaana ni future tense. Sasa ukimkuta mtu anasema ameokoka in present tense inakuwajekuwaje hapo?
 
Ilipigwa Japan sembuse Iran.
We unafikiri vita ya hio miaka ni sawa na sasa.
Au unafikiri dola ya rumi ilivyokuwa na nguvu za kijeshi ni hadi leo? Mambo yanabadilika.
Ndio maana hivi sasa hata Japan haiwezi kabiliana na China kijeshi japo Japan ilikuwa super power Asia yote.
 
Hatimae wameingia kwenye mfumo kwa sababu wao ndio hasa waliokua wanatafutwa muda wote, sisi acha tuendelee na kilimo cha mahindi na mpunga tuu
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .

Hao niliokutajia wote hao ni Iran ndio yupo nyuma yao hili hata mabwana zenu wa marekani na Israel wanalijua sasa nashangaa nyie wafuasi wao qa mchongo hamjui.
 
Sisi tunajua adui mkubwa wa ugaidi ni iran huko kwingine gaza na yemen. Israel anajisumbua tu ila saizi tunataka Iran ajichanganye ili apigwe mazima.
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .

Hao niliokutajia wote hao ni Iran ndio yupo nyuma yao hili hata mabwana zenu wa marekani na Israel wanalijua sasa nashangaa nyie wafuasi wao qa mchongo hamjui.
 
Hapo kakurupuka baada ya makomandoo wake aliowatuma kujifanya wao ni hezbula na Hamas kuchinywa kichinjo Cha kibudu na askari mahiri was izrael. Ajaribu kujitokeza waziwazi AIONE hasira ya ulaya
 
Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya 8ran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu

Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.

Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.

Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?

Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani

Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran

Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran

Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
[emoji1787][emoji1787] mbona mnajidanganya wenyewe? Iran anatafutwa kwani kajificha wapi? Hezbollah wanawasha moto kila siku, Houth wa Yemen wameifunga bandari ya eilat na hakuna meli ya Israel inakatisha hapo redsea, Islamic resistance wa Iraq wanaidondoshea vitu vizito Israel ndani kabisa .

Hao niliokutajia wote hao ni Iran ndio yupo nyuma yao hili hata mabwana zenu wa marekani na Israel wanalijua sasa nashangaa nyie wafuasi wao qa mchongo hamjui.
 
Hujui thamani ya uislam ndio maana. Unalala baa ukiamkia baa
kwamba uislam una thamani? china wameuweka kwenye kundi la mental disease. ukweli ni kwamba uislam ni dini ya shetani kabisa ndio maana haujawahi kuleta majibu kwa mwanadamu yeyote, na unahitaji kupiganiwa ili usavaivu.
 
ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Kwa hiyo God of Israel ndiye aliyewaagiza hao waisrael kuwapiga wa Iran? Mnadhani wairan hawana Mungu? Sasa Kaa utulie vitisho vya kwamba Mungu wa Israel hatawaacha hayo hayawahusu wairan, ni kukosa akili Israel kupiga wenzie mpo kimyaaa lakini mkisikia Kuna malipizi yanakuja mnaanza ooh Mungu wa Israel na Mungu sijui wa nani labda niulize wakati Israel inatawaliwa utumwani kule misri Kwa muda wa miaka 400 au kipindi Hitler anatengeneza biogas kule Poland Kwa kutumia damu za waisrael Mungu wao alikuwa likizo?
 
Alisika mlevi mmoja akiwakumbusha walevi wenzie jinsi mataifa zaidi ya matano yanayoizunguka Israel yalivyokandwa
we ndio wale mnao weka/tundika bendera ya israel mkijihisi wabarikiwa huo ni ugonjwa mkuu
 
we ndio wale mnao weka/tundika bendera ya israel mkijihisi wabarikiwa huo ni ugonjwa mkuu
Atakaepitia hii comments yako na yangu atamjua mgonjwa ni yupi. Mimi nimeongea uwezo wa kivita wa Israel kuzipiga nchi zaidi ya 5. Kitu ambacho ni fact kilitokea.
Lakini wewe umeruka kutundika vibendera,kujihisi,nadharia. Wapi na wapi?. Kama hujapanic basi kiuhalisia kabisa wewe unaweza usiwe umejitambua,wakuwahishe milembe.
 
Back
Top Bottom