Vita vya Israel vimepata jina jipya. Ni vita vya kupigana na hospitali, waandishi wa habari na mapipa ya maji

Ni CHuki zinakusumbua tu. Hamas wanajua nini wanafanya ili kuamsha hasira za waarabu na waarabu koko kama wewe.
Wanatumia miundo mbinu ya kiraia maksudi ili kuonesha ubaya wa jeshi la Israeli
sasa mwenye chuki ni nani kama sio wewe mwiziraeli wa mbaggala
 
Du malengo hayajafikiwa wakati Gaza iliyokuwa chini ya Hamas ipo mikononi mwa Izrael? Au kuna malengo mengine zaidi ya kuwa ondoa Hamas na wapalestina kupata viongozi wanao jali utu
 
Nenda page ya IDF Instagram wameweka ushahidi wa kutosha ila kwa sababu macho yenu yamepofushwa na chuki ya kidini hamuwezi kuona
Hizo ni propaganda na ndio maana Israel ilizima Internet ili ukweli usijulikane bali watu wameze propaganda zake, hizo video ana weza kutengeneza.

Umoja wa mataifa ambao ndio wasimamizi wakuu wa hizo hospital wamesha sema hakuna kitu kama hicho kinacho semwa na Israel kwa hiyo unataka kuniambia umoja wa mataifa unashirikiana kuficha maovu ya hamas?

Hata mashirika ya kutetea haki za binadamu juzi walitoa tamko ya kukanusha madai ya Israel.
 
Nyie ndio mnachuki. Mnaona Israeli hana haki ya kujilinda dhidi ya ugaidi
ugaidi upi unaozungumzia wakati america uingereza france yaani umoja wakujihami ndio magaidi mipango yote ni yao matukio yote wanatengeza wao nakuihadaa ulimwengu... tumia akili na busara japo kidogo usiwe ziro brein
 
Nyie ndio mnachuki. Mnaona Israeli hana haki ya kujilinda dhidi ya ugaidi
Ww mbona huoni haki ya wapalestina kuifurusha Israel kwenye ardhi zao badala yake unawaita magaidi?
 
Tunarudi kule Kule chuki zimewapofusha! Na siku Israeli ikianguka usidhani hapo middle east patakua na amani. Msikilize uyu Bin Salman anachosema. Yupo radhi Israeli awe na Silaha za Nuclear kuliko waislam wenzake wa Iran.


View: https://youtu.be/Pri6MKB4M8s?si=-IYsXHOO9STIyI68
 
Ww mbona huoni haki ya wapalestina kuifurusha Israel kwenye ardhi zao badala yake unawaita magaidi?
Ile ardhi ni ya wayahudi tangu vizazi na vizazi. Wapalestina ni kama wapangaji tu
 
ugaidi upi unaozungumzia wakati america uingereza france yaani umoja wakujihami ndio magaidi mipango yote ni yao matukio yote wanatengeza wao nakuihadaa ulimwengu... tumia akili na busara japo kidogo usiwe ziro brein
Ugaidi wa hamas wa kuchoma moto watoto wadogo pamoja na kubaka wanawake
 
Mtu Kama huyu. Uwezi kuelewesha chochote ukaelewa, unachojua kwamba ukifa unaenda kutana na mabikira. Sasa Israel anachofanya ni kuwapeleka kwenye mahuti, mkakutane na hawo mabikira
Nincompoop
 
The end does not justify the mean. Kama lengo la Israel ni kuwamaliza Hamas sawa wawamalize ila sio kwa kupitia kuua raia.

Labda kama raia wote wa Palestina ni Hamas ulichoandika kinaweza kuwa sawa. Otherwise hauko sawa. Vita vina sheria zake.
 
Dunia haiko salama chini ya mikono ya Marekani tuiombee Urusi ipande nguvu za kijeshi Ili isimame imara dhidi ya UNYAMA WA MAREKANI DUNIANI KOTE
Kamsaidie huko Ukraine
 
Israel haijawahi kushinda mapigano yoyote mzee. Amka usingizini.

Angalia silaha, funds, na kila kitu wanachotumia hao jamaa kama sio USA. Kiujumla Marekani ndio anaua watu wasio na hatia kwa kutumia taifa feki la Israel.
 
vipi kama watoto wako au familia yako ingefanyiwa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…