Vita vya Israel vimepata jina jipya. Ni vita vya kupigana na hospitali, waandishi wa habari na mapipa ya maji

Ni vita vingapi Israel imepigana kujilinda?Imepata Amani?
Waandishi wa Habari wanaouwawa na kikatili nao ni magaidi?Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa nao ni magaidi.
FUNGUENI MACHO
ACHENI UDINI
SIMAMIENI HAKI
IANGALIENI HAKI IKO WAPI MUIFUATE HATA KAMA HAIPO UPANDE WAKO.
 
Ni vita vingapi Israel imepigana kujilinda?Imepata Amani?
Waandishi wa Habari wanaouwawa na kikatili nao ni magaidi?Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa nao ni magaidi.
FUNGUENI MACHO
ACHENI UDINI
SIMAMIENI HAKI
IANGALIENI HAKI IKO WAPI MUIFUATE HATA KAMA HAIPO UPANDE WAKO.
 
Tusiwe wepwsi wakujifanya tunajua israeli inaweza kua imeona hao hamas wanajificha hosptal na shiule jwa hiyo iwaache.Hamas wajitokeze wapambane si wao ndo waliamsha ugomvi sio kukaa kulalamika.
Israel ni waoga
Kwanini hawasemi ni wapiganaji wangapi wa Hamas wameuwawa hadi leo
Wao wanaua raia madaktari watoto na wanawake kwao huko ndio kushinda vita.
Wacha tuone watapata amani??
 
Hamkutoa sauti zenu kulaani mauaji ya 07/10 hapo ndo tunaona double standards
 
Kwa hiyo uongozi wa Saudia sio waislam bali ni wayahudi?!
Hii mpya sasa.
 
Israel ni waoga
Kwanini hawasemi ni wapiganaji wangapi wa Hamas wameuwawa hadi leo
Wao wanaua raia madaktari watoto na wanawake kwao huko ndio kushinda vita.
Wacha tuone watapata amani??
wewe kitimoto mmoja wa gongo la mboto huko wakitaja idadi ya hamas waliokufa itakusaidia nini? katafute pesa ya kula mihogo na mchicha huko.
 
Si uandike ukweli kwamba Hamas wanatumia shule, hospital kujificha!

Kwann Akili ndogo?

Unadhani ww ndiyo unafuatilia tu au Hii Vita iko sebuleni kwako.

Punguzeni mihemko ya kidini.
 
KWA hiyo alieenda kujificha hospitali na kwenye shule ndiyo kashinda Vita.
 
Nani gaidi hapo? Anaeuwa watoto au wanajeshi?

Anaetetea ardhi yake au mvamizi?? Nani gaidi hapo?
Hamas walivamia mitaa ya raia, wakachukua mateka, mateka wengine ni watoto kabisa chini ya miaka 5. ule sio ugaini?na wao ndio wachokozi. au wewe unaona sio magaidi?
 
Hamas walivamia mitaa ya raia, wakachukua mateka, mateka wengine ni watoto kabisa chini ya miaka 5. ule sio ugaini?na wao ndio wachokozi. au wewe unaona sio magaidi?

Haya bwana na zionists wenu, hata tuwaeleweshe vipi ni lazima muwatetee mazayuni, hizi chuki hazitaisha
 
Dunia haiko salama chini ya mikono ya Marekani tuiombee Urusi ipande nguvu za kijeshi Ili isimame imara dhidi ya UNYAMA WA MAREKANI DUNIANI KOTE
Hiki kipigo kimewachanganya mpk mnaomba msaada kwa kafiri Urusi. Iran hana meno tena, oh Iran kimya.
Hapo Sudani na Somalia mbona ndugu zako wanaua watu kila siku na waislamu 100%.
Marekani izidi kuwa na nguvu kila siku maana waarabu wakiwa na nguvu wataunda vikundi vya kigaidi vingi sana
Al Shabab
Al Qaeda
Boko Haram
Islamic State
Janjaweed n.k
Wote ni waislamu na waua watu ovyo tu kila siku. Hapa Tanzania kuna Islamic State ilianzishwa ila ilizimwa baada ya mashekh wa UAMSHO wote kukamatwa pakawa amani.
 
Pumbavu zenu,msirudie tena kuwachokoza wayahudi maana moto wake mnaujua
 
Nimetapika baada ya kudoma andiko lako.

Hamas pale Gaza wamewageuza raia kuwa humanshield hivyo kuwaua Hamas ni lazima ushambulie hospitali nk
Ofisi za Hamas ukiacha Bunge kao ziko kwenye hospitals.

Tulia hujui kinachoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…