Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Gellangi,
Kule Zanzibar, abiria kama hao huitwa ma zombie. Mazombi kweli ujue. Eti hata lockdown tu, yamejiaminisha kuwa ni agenda ya CHADEMA.

Yanaudhi sana.
 
Najiuliza hawa washangiliaje wake wanautoa wapi huu ujasiri? Hivi wanafahamu kuwa wao pia ni abiria wake? Nahodha kajitosa halafu bado kuna wanaomshangilia na kumsifia kwa uhodari wa kuogelea?

Uhodari wa kuogelea ha haaa ha !
 
Huko kwenye Lockdown mbona maambukizi na vifo kama kawaida !!

Mkuu umeweza kusikia haya kwenye issue ya Corona:

1. Kasi ya maambukizi
2. Kasi ya kupona.

Hizi mbili waweza kuzipata kwa kuangalia idadi ya maambukizi na idadi ya wanaopona katika kipindi kimoja.

Uhusiano wa hizo figures mbili ni muhimu sana kujua mbichi na mbivu.

Idadi ya vifo au idadi ya maambukizi hayo ni namba tu yasikupe taabu mkuu.
 
Jiwe limekuwa kokoto. Ujiwe wake upo kwenye kuwashughulikia wapinzani tu na sio changamoto za kitaifa. Nahodha katelekeza chombo
 
Hawajitambui, kila anayewatetea wananchi dhidi ya serikali/CCM anaitwa CHADEMA na kwa hiyo CHADEMA ipo kwa ajili ya Watanzania.

Halafu mnadiriki kudai kuwa CHADEMA imekufa na CCM inakubalika? Mnapimaji mawazo ya Watanzania nyie?
 
Gellangi,
Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.

Hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!

PM hana mamlaka yoyote zaidi ya kupokea miasaada. Wote yeye na Ummy wana endeshwa na Makonda.
Wao wakisema kushoto Makonda anabadili anasema kulia.

PM hawezi kuzuia watu kusafiri baina ya mikoa.

Watu mbali mbali wamepiga kelele tufunge mipaka ya mikoa . PM hawezi kwani mpaka rais. Sasa dudu lime enea nchi nzima ku manage sasa ni shida

Kwa jinsi anavo endesha utawala wake yeye peke yake ndio mwenye mwamlaka ya kubadili kitu. Wengine manyoya tu.
Akisema ombeni wote wata omba tena watakusanyika kuhatarisha maisha yao kwa kuambukizwa.
Jamaa he has failed perioood


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Nahodha awepo chomboni Na wasaidizi wake pia....tusafiri pamoja....ETI LEO NDO DHANA YA KUKAIMISHA MADARAKA NA KUHESHIMU WADHIFA WA MANAHODHA WASAIDIZI WA CHINI YAKE NDO inashika kasi na inaonekana ndio inafanya kazi?

Mbona huko nyuma ulikua unakata kona mwenyewe, unapiga honi, unashika brake wewe mwenyewe wasaidizi (Na yule wa close to you suluhu) hawakuwepo? kumbe unajua kuogelea hivi.... inua kichwa uone chombo Na waliomo kinavyozama..... tununulie basi hata vipimo kwa hela zetu usambaze Kila mkoa....kwetu sisi kwa sasa afya Ni bora kuliko projects hizo hizo hizo
 
The time whirls out, and it's a year in which Tanzanians will be deciding ,and you're going to be the top candidate ,though statistics indicate that you won't win.

Mr President, Chato isn't an official state house whereas you can convene a suite or a cabinet of ministers in order to contain the Corona disaster.

You're the Commander in Chief, hence you'd not have walked away from your suite,leaving all commitments to them as if you're ill.

The nation awaits your address over the entire situation in the country, but you've chosen to maintain neutrality.

Mr President, the fate our country economically, politically, and social -welfare is still in the pit of darkness since you came in power.

The Commander in Chief doesn't walk away from the battle field .
Mr President, I kindly beseech you to go back to the State House.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
No It can't be 29 days!. Si ni juzi kati tuu tumemshuhudia basking in the sun kwenye yale majabali pale Dodoma, siku 29 zimefika lini?.
P
Ilikuwa tarehe 28 March 2020 alipofika Chato. It is 26 days which makes a difference not significant... kweli una mapenzi na Msukuma mwenzako! Ukabila upo pale pale! Rais siku 25 yuko kijijini kwenye crisis kama hii, unaona ni kawaida?


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma.
 
Yaah hapa ni muhimu kila mtu kujikinga bila kusubili kuambiwa unakuta mtu anapiga kelele ya kua iwekwe lockdown lakin mda huo yupo mtaani hasa nae anasubili serikali iseme tutailamu serikal bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Haisaidii kupunguza maambukizi kama baadhi wataLockdown wakati wengine wanapuyanga.

Umuhimu wa Lockdown ni kuwezesha kufanya testing na kuquarantine kwa wepesi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jiwe mwoga sana,nilikuwa nashangaa walinzi wote wale
Kwenye maisha ukiona mtu yeyeote ambaye ni mkali kupita kiasi .... na anajiitaa yeye ni mkali na jiwe basi jua kuwa hiyo ni camoufledge ya kuficha uoga wake ...... anahakikisha anawatisha watu wawe mbali ..

Kuwa amiri jeshi mkuu sio kupayuka ..... na kutisha dagaaaa ......Kikwete tu mfano usiku alikuwa anakesha Situation Room kwa ajili ya Vikosi vyetu vilivyoko kwenye fronts mbali mbali mfano M23 , Comoro, Tention na Malawi etc, Tension na Rwanda etc
 
Kwa zaidi ya siku kadhaa sasa mwanasiasa wa ACT bwana ZittobKabwe amekuwa akimtaka rais Magufuli ajitokeze hadharani kwa kile anachodai kuwa aongoze mapambano dhidivya COVID 19.

Inawezekana Zitto anajua kabisa Rais anaweza kufanya kazi popote ikiwemo kuongoza vikao hata kwa skype ila sababu anaelewa ana kundi la watu wachache ambao ni vilaza atawapata kwa hoja hizi nyepesi. Hapa hawasaidii wafuasi wake ila anawafanya wajinga.

Lakini tunajiuliza kitu kimoja, Zitto ye ni mbunge na kiongozi wa jimbo. Kwa nafasi yake hiyo nae alitakiwa atoke huko aliko ambapo hata wapiga kura wake hawajui aende akahamasishe wapiga kura wake hususani sehemu za stendi na sokoni namna ya kujiepusha na mikusanyiko pamoja na kunawa kwa sabuni kila mara.

Kinyume chake ye anatakata Magufuli awaambie watu wa jimbo lake wanawe mikono, hapa ndio unaona udhaifu wa huyu kiongozi. Yaani yeye anamlilia rais wakati tayari ye mwenyewe ni kiongozi kwa nafasi yake hiyo ameshindwa kukaa na wapiga kura wake huko Kigoma badala yake yupo dar es salaam kajifungia.

Kweli ukistaajabu ya Zitto utayaona ya mfa maji.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa tarehe 28 March 2020 alipofika Chato. It is 26 days which makes a difference not significant... kweli una mapenzi na Msukuma mwenzako! Ukabila upo pale pale! Rais siku 25 yuko kijijini kwenye crisis kama hii, unaona ni kawaida?


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma.

Yes ni kawaida, kuna nini cha ajabu kama kila kitu kinaendelea as usual?.


P
IMG-20200422-WA0018.jpg


Leo kafanya uteuzi akitokea chimbo la Ikulu ya Chato.
P
 
Kuna mwongoza mtumbwi mmoja aliulizwa swali na abiria wake Kama Ana degree kuendedha chombo chake, yeye akajibu tu Hana. Baadaye akashushiwa swali lingine, Kama huna degree unawezaje kuendedha chombo hiki, yeye akatikisa kichwa safari ikaendelea. Walipofika katikati ya maji marefu Mara ghafla Hali ikabadilika. Upepo mkali ukaanza kuvuma.

Mvuvi akajitahidi kwa kadri alivyoweza na ilpobadilka kuwa mbaya zaidi akamgeukia abiria wake na kumuuliza Kama anaweza kuogelea. Abiria akajibu kuwa hawezi, mvuzi akamrudishia swali lake, si una digrii.

Sasa tujifunze kuwa dhamana ya afya yako Ni wewe mwenyewe kufuata masharti na kuzingatia maelekezo. Tuachane na ama Fulani Yuko wapi atatuokoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya maneno hayo, basi tunaomba useme, nahodha yuko wapi?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana JPM kwa kuchukua likizo baada ya kazi kubwa ya kuinua uchumi wa Tanzania. You definitely deserves it, after hard work. Tunasubiri ukimaliza likizo uje utatue matatizo yanayoikabili hii nchi ili tuondokane na umasikini uliokuwa unaota mizizi.
 
Back
Top Bottom