Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hilo hata mimi nimeliwaza sana na huenda hii ndio sababu.Kuji karantine si lazima utangazeee...akili mu kichwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hata mimi nimeliwaza sana na huenda hii ndio sababu.Kuji karantine si lazima utangazeee...akili mu kichwa!!
Hilo la kunawa bado watu hawaliamini kwnye hiyo hiyo coaster kuna kaka pia alipanda njiani konda anampulizia dawa hakutaka kupuliza mikono yote miwili 'they think it is a bother but it will cost us'Makosa yalitokea pindi tulipoufuta unyapara... lakini ifike wakati tukemeane vilivyo na elimu itolewe ipasavyo maana hata suala la kunawa ni kama bado halijaeleweka vema
Kusadiki kwa Toma... ama wale jamaa zetu husema "kusikia kwa kenge...."Hilo la kunawa bado watu hawaliamini kwnye hiyo hiyo coaster kuna kaka pia alipanda njiani konda anampulizia dawa hakutaka kupuliza mikono yote miwili 'they think it is a bother but it will cost us'
Mimi nipo nyumbani...Na wewe una mikakati gani ili usiugue corona
Hatuna Rais. Majaliwa ndo number 9 wetu kwa sasa.
Hao itakuwa wana underlying issues. Sasa kimelea kikija juu yake,kuwatibu itakuwa mtihani. Bora waaply social distance...hata mama samia sijamsikia.
..labda na yeye kachukua likizo ya covid19.
Naona covid19 imefanikiwa kuweka checks and balances na ufanisi mkubwa.Bahati nzuri sn ni kwamba saaizi wote tukiukwa tunatibiwa hapa hapa!!!
Kabisa yani....Naona covid19 imefanikiwa kuweka checks and balances na ufanisi mkubwa.
Malaya huponzwa na mdomo au private parts?!Funga mdomo wako wewe malaya mkubwa utakuponza!