Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Likizo itaisha pale Corona itakapokwisha au Tiba itakapopatikana!Si mlikuwa mnalalamika sijui misafara inawasababishia foleni,haya amewaachia mji wenu mpige kazi!
 
Safi sana kaka kwa post hii jembe hilo lipumzike limeshailima tanzania inang’ara.pumuzika kwa amani baba ukija uje na akili mpya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hongera sana JPM kwa kuchukua likizo baada ya kazi kubwa ya kuinua uchumi wa Tanzania. You definitely deserves it, after hard work. Tunasubiri ukimaliza likizo uje utatue matatizo yanayoikabili hii nchi ili tuondokane na umasikini uliokuwa unaota mizizi.
Mungu wangu mhurumie kiumbe wako huyu,mpe akili zaidi ya hizi za kuvukia barabara. Amen
 
Magufuli amekimbia corona

IMG_20200421_144616.jpg
 
Kama likizo msemaji angesema mapema baada ya kuona aibu mnakuja na mapambio ya likizo wanaume tupo dar es salaam WAVULANA wapo chato
Nani kasema ana likizo? Nimesema #Rais hapumziki ila ofisi yake yaweza kuwa popote hata chini ya mti, wewe unasema amekimbia? Huo ndiyo wehu chipukizi.
 
Tanzania tuna Bahati ya kupata Rais bora sana awamu Hii

Asante Magufuli
 
Nani kasema ana likizo? Nimesema #Rais hapumziki ila ofisi yake yaweza kuwa popote hata chini ya mti, wewe unasema amekimbia? Huo ndiyo wehu chipukizi.
Yaani rais Magufuli angekuwa rais wa Tanzania toka siku ile tunapata Uhuru,pesa tulizopoteza kujenga ikulu ya Magogoni na ile ya chamwino Dodoma tungezitumia kujenga fly over pale mwenge huyu ni mchapakazi sana hahitaji Yale majengo kufanya kazi zake yeye popote,hata kushuka kwenye gari unaona muda mwingine anapitia dirishani,Mara kwenye roof ilimradi tu kazi ichapwe.
 
bopwe,
Sasa hivi kila mtu anaimba kujifukiza na mitishamba, sasa sijui kaona Mungu amefeli? Huyu mtu nashangaa watu milioni 55 tunashindwaje ngamua nia yake ovu kwa taifa hili na watu wake
 
Hongera sana JPM kwa kuchukua likizo baada ya kazi kubwa ya kuinua uchumi wa Tanzania. You definitely deserves it, after hard work. Tunasubiri ukimaliza likizo uje utatue matatizo yanayoikabili hii nchi ili tuondokane na umasikini uliokuwa unaota mizizi.
Ungeandika tu Kiswahili, Hicho ni Kingereza cha hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha mkuu kakimbia timu, kocha msaidizi naye kaisusa timu, Timu imebaki na keputeni na kiungo mchezeshaji, Benchi la ufundi wanalia ukata wa zana za kufanyia mazoezi, Dactari wa timu amekimbia kisa vifaa tiba kwa wachezaji, mchezaji akiumia uwanjani anatibiwa na wachezaji wenzie

Mechi imekuwa ngumu mashambulizi toka kila upande wa uwanja kulekea upande wetu je tutatoboa hii mechi?

Je kocha atalejea baada ya timu kushinda mechi au atajiuzulu moja kwa moja?
 
Back
Top Bottom