Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kabisa mkuu.. ikulu ipo dodoma kwa sasa hata dar ni makosa Rais kukaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawali magumu mnatolea majibu mepesi sana. Nini maana ya nchi kuwa na makao makuu? Kwanini ikulu ilihamishwa dodoma ambako ndyo makao makuu ya nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app