Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Mwanzo niliamini ni likizo ya pasaka japo unaweza fikiria" unafurahiaje pasaka huku wenzako wanafikwa na umauti au magonjwa. Pasaka imepita ,nadhani sasa ni mapumziko ya ramadhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni makazi rasmi kabisa ya mh zingatia neno ikulu kaka hata kama ni ndogo tayari ni ikulu ndiyo maana kuna ulinzi ,huduma zote hata kama mh hayupo mbona ni simple logic haitaji kupiga msuli kwenyw vimbweta

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikulu ndogo haiwezi kuwa na huduma ndogo. Unajua ikulu inaoffice ngapi. Izo office znawatumish wangapi.
Hint: kila wizara inaoffice ikuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naijua ikulu

Hakuna interaction ya rais na staff

Na bado ana uwezo wa kuminimize au kupunguza staff wakafanyia kazi mbali na yey

Unayemsema ni Rais wa Nchi!!! He has all ways na capacity ya kujilinda mkuu. Hizi maneno ya kuwa anajificha yakatae


Niko dsm na nina mask na basics za kujikinga, kweli rais hawezi haya??? Na akavaa mpaka Hazardous Coats?
Anahaja gani ya kujilinda wakati haamini kama tuna corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anahaja gani ya kujilinda wakati haamini kama tuna corona.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hapo ndio umedhirisha upumbavu, ujinga na unafiki

1.hakuna mahali JPM kasema hakuna corona
2.Hakuna mahali JPM kasema tusijilinde na corona

Nadhan tuache hapa mjadala, sikujua ninaongea na mwanamke mpumbavu

This is JF sio Fb au insta hapa

Acha ujinga haukusaidii
 
Ni makazi rasmi kabisa ya mh zingatia neno ikulu kaka hata kama ni ndogo tayari ni ikulu ndiyo maana kuna ulinzi ,huduma zote hata kama mh hayupo mbona ni simple logic haitaji kupiga msuli kwenyw vimbweta

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazijua Ikulu zote ndogo? Umejua kwa Nini haya Gerson Msigwa anaiita Ikulu ya Chato? Tufungue akili kidogo ili tusiache siasa itufumbe
 
Mkuu hapo ndio umedhirisha upumbavu, ujinga na unafiki

1.hakuna mahali JPM kasema hakuna corona
2.Hakuna mahali JPM kasema tusijilinde na corona

Nadhan tuache hapa mjadala, sikujua ninaongea na mwanamke mpumbavu

This is JF sio Fb au insta hapa

Acha ujinga haukusaidii
Bora umwambie , upingaji umechukua akili yake kibaya zaidi akili nzima kagawa kabakiwa na akili ya kuvukia zebra tu
 
Wapwa tuinuane ndio habari ya Mjini.

Kwakuwa Serikali haitoi takwimu za KOONA kama alivyoagiza mkuu pale aliposema watoe za waliopona na siyo wagonjwa na mara moja agizo kutekelezwa na anti-Ummy, basi ukitaka kujua koona imeisha"UTAMUONA MZEE BABA AKIRUDI MJINI KAMA ALIVYOONDOKA"

Kumbuka aliondoka siku ya jumatatu "akajifanya kukagua daraja la ubungo, mara sijui barabara imebomoka morogoo-dodoma pale akafukuza Meneja Tanroad, akafika Dodoma akapiga picha juu ya mawe, wakamwambia koona ipo Dodoma akakimbilia alipo, sasa AKRUDI TU jua KOONA IMEISHA
 
Koona is here to stay hadi miezi 18 ya tafiti ya chanjo ikamilike.
 
Gellangi,
Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.

Hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Kwani vipi? Anaumwa?
 
Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote.

Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona.

Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa, mwenye uthubutu na tupo salama ilhali abiria tunaona hatari iliyopo mbele yetu.

Nahodha wetu tunaambiwa yupo mapumzikoni. Je, tukisema kajitosa baharini na kutuachia chombo kielee kwenda kuzama tunakosea?

Corona bila lockdown itatumaliza, ilikuwa Arusha, Dar na Zanzibar hatukuona haja ya lockdown eti tutakufa njaa. Sasa tuna wagonjwa mikoani na hakuna kinachoonekana kufanyika, hatujaamua bado kulock maeneo yenye wagonjwa.

Tunafahamu kuwa hakuna dawa, chanjo, vifaa tiba, maabara za uchunguzi na vifaa vya kujikinga hasa kwa watoa huduma za afya.

Tuamini kuwa tupo salama? Tuamini kuwa Nahodha hajajitosa na kuacha chombo katikati ya mawimbi makali?
Mkuu nafikili ili la lockdown kwa hapa tz wengi mnalizungumza sana ,
Ila tatizo hamtoi ushauri kwamba baada ya kufanyika then wananchi waishije katika kupata maitaji yetu ya kila siku.kwa nini hamzungumzii ilo? Mnazungumzia lock down tu na huku maisha yetu watanzania tunayajua kwamba lazima utoke ndo familia ipate ugali.
Je nikisema mnaokazania lock down mna agenda nyingine nyuma ya pazia nitakua nakosea maana huwezi sisitiza lock down bila kutokua na solution ya watu jinsi watakavyo ishi
 
Back
Top Bottom