kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Hayo mambo ya kufungiana ndani hata mimi sisupport. Kwa hapa namuunga mkono asee....!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angefanya hayo ungepata faida gani ambayo unahisi ingekutoa point A kwenda point B kimaisha?Kwa nia njema kabisa, kama Mh. Rais angeliwa "mtaani" katika janga hili nadhani watu wangelisema kidogo. Yule wa Brazil aliingia mitaani kuandamana nao akisema corona usiwatishe ni ugonjwa wa kawaida (sisemi aingie mitaani, NO)!. Lakini kitendo cha kukimbia ofisi na kwenda kwake, ina maana huu ugonjwa ni hatari sana! Ugonjwa mdogo huwezi kuchukua drastic measures kama alizozichukua, very strict measures to gwet safe!
Tusibishane.... let us talk sense, discuss sense...Amekimbia wapi? Mbona bado yupo Tz.
ndiyo maana nimeandika "mtaani".. with inverted commas
But as kiongozi mkubwa wa nchi, "run away strategy" is not the right option for AMIRI JESHI MKUUHuu mkakati wa kukabiliana na gonjwa hili pengine wataalamu wanaweza kuuita "running away strategy'
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi rais yuko nchi gani wapinzani???But as kiongozi mkubwa wa nchi, "run away strategy" is not the right option for AMIRI JESHI MKUU
si unaona hata DJ na wapambe wake wamerudi bungeni[emoji1][emoji1]Nasikia Corona imeisha, hongera IGP Sirro kwa kazi nzuri ya kupuliza maji ya upupu hewani na kuwaua Coronavirus COVID-19
Ndiyo maana nafasi ya URAIS si ya kuchagua mradi kuchagua. Wanakushauri nawe unaangalia kwa akili yako! kuwa NO, let me go, niacheni (kama ambavyo huwa anaamua kusimama ghafla kusalimia watu.... !UNLESS YUKO KAMA MIMI AMBAYE EXPOSURE YANGU KWENYE HUU UGONJWA MIGHT MAKE AN UNPLEASANT OUTCOME!Siamini kama ni mawazo yake kama ninamvyomfahamu.
Ikumbukwe hawezi kujiamulia mambo yake mwenyewe,yeye siyo Magufuli kama mnavomchukulia yeye ni Taasisi,ndomana wanamzunguka wana jukumu la kumlinda na kuhakikisha anakua salama muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndilo ttizo la JF, unatukana sasa. Why all these matusi!si unaona hata DJ na wapambe wake wamerudi bungeni[emoji1][emoji1]
wapi nimetukana!!!!come on.Ndilo ttizo la JF, unatukana sasa. Why all these matusi!
This is shallow thinking!Rais akiwa "mtaani" utaongezewa mshahara? Life Expectancy yako itaongezeka.?
Kiongozi MkuuWee raisi anakuhusu nn?
Sent from my iPhone using JamiiForums