KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Ikulu ni Nini? Nijibu kwa uelewa na ufahamu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu ni Nini? Nijibu kwa uelewa na ufahamu wako
Nini maana ya kuwa na ikulu mkuu??basi mh kikwete angekuwa anakaa msoga tu!kwa nini tuingie gharama kujenga ikulu mpya pale kilimani dodoma sasaTatizo ninyi makamanda mnaazima akili mnasahau kuomba mrudishiwe akili zenu nzima na mkiambiwa mnakuwa wabishi.
Soma taratibu nilichoandika ,nimesema Rais ana haki ya kufanya kazi mahali popote ndani ya JMT yaani Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na si popote duniani.
Mnaposhindwa kuelewa huwa mnaleta upotoshaji kàtika jamii ya Watanzania.
Imepenya hiyo kamanda
Leta iyo kanuni au sheria inaayosema popote kambi kwa Rais.Tatizo ninyi makamanda mnaazima akili mnasahau kuomba mrudishiwe akili zenu nzima na mkiambiwa mnakuwa wabishi.
Soma taratibu nilichoandika ,nimesema Rais ana haki ya kufanya kazi mahali popote ndani ya JMT yaani Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na si popote duniani.
Mnaposhindwa kuelewa huwa mnaleta upotoshaji kàtika jamii ya Watanzania.
Hahahashahaha unachekesha sa naNinachojua makazi na ofisi ya Rais ni Ikulu na Ikulu haipo dar au dodoma pekee. Sioni Cha ajabu Rais kuwepo huko kwa kuwa napo Ikulu ipo.
Hata akiwepo dar, bado ataendelea kuwa Ikulu kama ilivyo huko Chato. Je, na hili inahitaji viongozi wenu wawaambie?
Wewe mtoto usionyeshe ujinga mbele ya hadhala!Ninachojua makazi na ofisi ya Rais ni Ikulu na Ikulu haipo dar au dodoma pekee. Sioni Cha ajabu Rais kuwepo huko kwa kuwa napo Ikulu ipo.
Hata akiwepo dar, bado ataendelea kuwa Ikulu kama ilivyo huko Chato. Je, na hili inahitaji viongozi wenu wawaambie?
Wewe kula ugali ulale
Unanwita Rais njoo Dodoma utafikiri unaita bajaji !
Wewe kula ugali ulale
Unanwita Rais njoo Dodoma utafikiri unaita bajaji !
Mkuu usiombee hii. Watakufa wasiokuwa na hatia. huyu hata wakifa watz wote akabaki yeye tu kwake ni sawa maana ndyo last resort yake. Mi naombea imfulumushe uko uko chato.Mimi Kuna kitu naomba Sana ili ukaidi uishe na kujipendekeza kwa Rais corona ianze kufyeka hata watu 1000 tu kwa siku, ndo akili itatuingia, na watakao baki akili itawakaa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndyo sababu inayomfanya akae hapo chato. Watumishi wa hapo wanaishi hapo hapo ila makao makuu kunawanaoingia na kutoka kila siku. Ikulu inaoffice nyingi sio ya rais unavyofikiria wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikulu ni makazi ramsi ya mkuu wa nchi(zingatia neno ramsi) its an official residence and working place of the President of united state of tanzaniaIkulu ni Nini? Nijibu kwa uelewa na ufahamu wako
Anidanganya eti sisi ndio maboss!! Sijui kajua lini?Wewe kula ugali ulale
Unanwita Rais njoo Dodoma utafikiri unaita bajaji !
Ikulu ni mahali ambapo Rais akifika anaweza kulala na kufanya kazi zake hata Kama ni kijijini ndani ndani kabisa ila kwa sababu huko kijijini ni nadra kwa Rais kukaa kwa zaidi ya siku 2 ndio maana hazijengwi huko ili kupunguza gharamaNini maana ya kuwa na ikulu mkuu??basi mh kikwete angekuwa anakaa msoga tu!kwa nini tuingie gharama kujenga ikulu mpya pale kilimani dodoma sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Oky chato kuna ikulu?Ikulu ni makazi ramsi ya mkuu wa nchi(zingatia neno ramsi) its an official residence and working place of the President of united state of tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
toIkulu ni makazi ramsi ya mkuu wa nchi(zingatia neno ramsi) its an official residence and working place of the President of united state of tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ndo atastuka kutoka usingizini, yaani analeta mambo ya ajabu utafikiri kipimo anacho tumia kupima sicho Kenya au Rwanda au Uganda wanacho tumia, nawambieni ipo siku atasema Sina Imani na wasimamizi wa mochwari kwakuwa wanaongeza idadi ya maiti, wamenunuliwa na mabeberuMkuu usiombee hii. Watakufa wasiokuwa na hatia. huyu hata wakifa watz wote akabaki yeye tu kwake ni sawa maana ndyo last resort yake. Mi naombea imfulumushe uko uko chato.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushasema neno "ikulu" tayari tunarudi kwenye angekuwa geita kwenye ikulu ndogo sawa tu! Unles chato kwake pale patangazwe kuwa pamekuwa ikulu ndogoto
Je, Ikulu ndogo zilizopo mikoani na wilayani sio makazi rasmi ya Rais?
Why walitengeneza ikulu ndogo sasa kama kweli raisi anaweza fikia popote hata kwangu hapa kimandolu??Ikulu ni mahali ambapo Rais akifika anaweza kulala na kufanya kazi zake hata Kama ni kijijini ndani ndani kabisa ila kwa sababu huko kijijini ni nadra kwa Rais kukaa kwa zaidi ya siku 2 ndio maana hazijengwi huko ili kupunguza gharama