Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Ni makazi rasmi kabisa ya mh zingatia neno ikulu kaka hata kama ni ndogo tayari ni ikulu ndiyo maana kuna ulinzi ,huduma zote hata kama mh hayupo mbona ni simple logic haitaji kupiga msuli kwenyw vimbwetato
Je, Ikulu ndogo zilizopo mikoani na wilayani sio makazi rasmi ya Rais?
Ikulu ndogo haiwezi kuwa na huduma ndogo. Unajua ikulu inaoffice ngapi. Izo office znawatumish wangapi.Ni makazi rasmi kabisa ya mh zingatia neno ikulu kaka hata kama ni ndogo tayari ni ikulu ndiyo maana kuna ulinzi ,huduma zote hata kama mh hayupo mbona ni simple logic haitaji kupiga msuli kwenyw vimbweta
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahaja gani ya kujilinda wakati haamini kama tuna corona.Naijua ikulu
Hakuna interaction ya rais na staff
Na bado ana uwezo wa kuminimize au kupunguza staff wakafanyia kazi mbali na yey
Unayemsema ni Rais wa Nchi!!! He has all ways na capacity ya kujilinda mkuu. Hizi maneno ya kuwa anajificha yakatae
Niko dsm na nina mask na basics za kujikinga, kweli rais hawezi haya??? Na akavaa mpaka Hazardous Coats?
Unazijua Ikulu zote ndogo? Umejua kwa Nini haya Gerson Msigwa anaiita Ikulu ya Chato? Tufungue akili kidogo ili tusiache siasa itufumbeNi makazi rasmi kabisa ya mh zingatia neno ikulu kaka hata kama ni ndogo tayari ni ikulu ndiyo maana kuna ulinzi ,huduma zote hata kama mh hayupo mbona ni simple logic haitaji kupiga msuli kwenyw vimbweta
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umwambie , upingaji umechukua akili yake kibaya zaidi akili nzima kagawa kabakiwa na akili ya kuvukia zebra tuMkuu hapo ndio umedhirisha upumbavu, ujinga na unafiki
1.hakuna mahali JPM kasema hakuna corona
2.Hakuna mahali JPM kasema tusijilinde na corona
Nadhan tuache hapa mjadala, sikujua ninaongea na mwanamke mpumbavu
This is JF sio Fb au insta hapa
Acha ujinga haukusaidii
Kabudi kishapiga zake kitu cha MADAGASKA, na jua pia kampelekea mzee baba aliyetoa pipa la kuleta mzigo.Koona is here to stay hadi miezi 18 ya tafiti ya chanjo ikamilike.
Kwani vipi? Anaumwa?Gellangi,
Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
Hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Mkuu nafikili ili la lockdown kwa hapa tz wengi mnalizungumza sana ,Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote.
Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona.
Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa, mwenye uthubutu na tupo salama ilhali abiria tunaona hatari iliyopo mbele yetu.
Nahodha wetu tunaambiwa yupo mapumzikoni. Je, tukisema kajitosa baharini na kutuachia chombo kielee kwenda kuzama tunakosea?
Corona bila lockdown itatumaliza, ilikuwa Arusha, Dar na Zanzibar hatukuona haja ya lockdown eti tutakufa njaa. Sasa tuna wagonjwa mikoani na hakuna kinachoonekana kufanyika, hatujaamua bado kulock maeneo yenye wagonjwa.
Tunafahamu kuwa hakuna dawa, chanjo, vifaa tiba, maabara za uchunguzi na vifaa vya kujikinga hasa kwa watoa huduma za afya.
Tuamini kuwa tupo salama? Tuamini kuwa Nahodha hajajitosa na kuacha chombo katikati ya mawimbi makali?
Commandoo katoka nduki sijui bado kuna watanzania wametundika ukutani zile kalenda za migwanda ya jeshi?