Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Wazungu wakija na kuua viongoz kama hawa mnasema wameua Rais mzalendo.shiiiit
 
Sema kikundi Cha wahuni wa mtaa ufipa wakiongozwa na TRAITOR tindo liso
 
Ni vyema akaonekana kama vaba wa nyumbani hata kama hataki kutenda kama amiri jeshi katika mapambano! Unesema vyema kwamba korona ni ya dunia nzima na tumeona vikevile dunia nzima viongozi wa kuu wanavyoshughulika.
 
Naskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Ikitokea nikapata dalili nitaenda kutalii burigi na rubondo ili angalau nimsogezee karibu...hili tatizo ni letu sote😀
 
Sio kosa lake katumwa na kakikundi ka wahuni pale mtaa wa ufipa
 
Mwenye akili tu atakuelewa mkuu
 
Ni vyema akaonekana kama vaba wa nyumbani hata kama hataki kutenda kama amiri jeshi katika mapambano! Unesema vyema kwamba korona ni ya dunia nzima na tumeona vikevile dunia nzima viongozi wa kuu wanavyoshughulika.

Umesema Viongozi Wakuu kwani Waziri Mkuu Majaliwa siyo Kiongozi Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…