Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Maana ya kafiri ni mpinazni au mpingaji Mwenyezi Mungu.

Labda huielewi maana yake tu, makafiri wametajwa kwenye biblia pia.

Kama mpinzani anakataa kuitwa mpinzani, ageuke Msigwa.

Kama ni kafiri na unaogopa kuitwa kafiri, toka kwenye ukafiri.
kwahiyo wakristu hawaamini ktk mungu ? au neno mwenyezi ndo linakuchanganya?
 
w
wamepora mwaka gan ?
 
mungu ni mmoja tu aliyeumba ardhi na mbingu
Naam, tena tunatakiwa tujisalimishe na tunyenyekee kwake tu.

Huaminini kuwa Mungu kazaliwa na mwanamke?
 
Mazayuni kauli gani hiyo mbona ya kichuki?
 
Naam, tena tunatakiwa tujisalimishe na tunyenyekee kwake tu.

Huaminini kuwa Mungu kazaliwa na mwanamke?
Yesu ndo alizaliwa na mwanamke , ila mungu ni mmoja na hamuombi mtu kumsaidia kutoa hukumu wala kumpigania
 
Ssa kama wewe huna dini, kinakuuma nini wenzako kuwa na dini?

Biunafsi najivunia sana Uislam wangu.

Vipi wewe mbona hujivunii kutokuwa na dini?

Kwenu hakuna mizimu isiyo na dini?
Unajivunia Uislamu, Kwani Mungu ni mwislamu?
 
Kwa kukazia tu na kunogesha mada, ili muelewe kuwa hii vita ni zaidi ya mnayo isikia na kuiona kwenye mitandao a upande mmoja.

Majeshi ya Waarabu huko Syria leo yamekombowa visima vya mafita vilivyochukuliwa kwa ngiuvu na WQamarekani siku za nyuma huko Syria. Mapigano makali yamewauwa na kuwatiwa miuku wa Marekani kwenye hivyo visima vya "Omar".


View: https://youtu.be/mxSJTD4P4AE?si=_HxEXDEld7eSwxqY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…