Vita ya kisiasa baina ya Tanganyika na Zanzibar ipo wazi sasa

..tena kati ya hao 80,kuna Wabunge toka Baraza la Wawakilishi, nadhani wapo watano(5) eti kwa ajili ya kulinda MASLAHI ya Znz,kana kwamba hawa 75 hawawezi kulinda wala kutetea maslahi ya Znz..

Tunataka nasi Watanganyika tuwe na Wawakilishi ndani ya Baraza la Wawakilishi ili kulinda Maslahi ya Tanganyika..NDIO

Pia kwa umasikini wetu,hatuhitaji kuwa na wabunge 300+ , kwa kuanzia tupunguze hao 80 toka Znz, 20 tu WANATOSHA..huku Tanganyika wabunge wawili(02) kila mkoa..wakuchaguliwa na makundi maalumu,refer Rasimu ya Katiba ya Warioba...
TUNAPOTEZA FEDHA NYINGI SANA KWENYE UTAWALA!
 
Proof me wrong
I'm not certain of what credentials you expect me to bring forth so as to "prove" you wrong, ila I am well informed on the matter na Zanzibar pamoja na kuwa na immigration service ya kujitegemea, haina passport yake yakujitegemea. Iliyokuwepo ni ya miaka ya zamani kabla ya muungano. Na pia Zanzibar haina benki kuu yake as you say.
 
Kama upo uwezekano wa Mtanganyika kugombea ubunge Zanzibar au kuongoza nchi ya watu wa Zanzibar bila vizingiti vya kusheria muungano ungeeleweka.

Kama Mtanganyika angeweza kununua ardhi kama raia wa Tanzania huu muungano tusingeupigia kelele.

Kwani Raisi wa Zanzibar si Mtanganyika kutoka Mkuranga?

Kwani shida ni uzanzibari au uislamu?
 
Punguani mkubwa,Haki ipi wewe fukara wa nanyumbu umeikosa?

Rais ndio Huwa anatunga sheria za kufanya udalali? Au Serikali imejaa Watanganyika wangapi na Wazanzibar wangapi?

Huku ni kukosa akili
Nyumbu? Siyo.
Sikiliza chawa, Wazanzibari wanayo serikali yao,Katiba yao,Bunge lao na hata Mahakama yao.
Kumbe unaongeaongea hujui kitu chochote, hujui hata kuwa mkataba wa dipiwedi ulisainiwa halafu baadaye ukapelekwa bungeni kama kiinimacho.
Kwenye Muungano wazanzibari wana haki mara mbili, wakati haki ya Watanganyika iko mara moja, isitoshe kwanini Rais yuko obsesed na mali za Tanganyika wakati na Zanzibar kuna mali? Yeye si ndio Rais wa muungano?
 
Nchi ni Nchi na mkoa ni mkoa
Kihadhi haziwezi kuwa sawa bandugu 🙌
 
Wazanzibar wanaona Kama wanatukomoa Tanganyika Ila Tanganyika itakapoamka wanaweza kuchinja viongozi wao
Hakuna mambo ya kuchinjana hapa !
Marehemu Karume alisemaga tangu Enzi hizo kwamba huu Muungano ni kama mtu amevaa koti, ukiona limekubana unalivua tu na maisha yanaendelea kama kawaida !😅🙌👍
 
Kama ni lawama basi sisi wenyewe ndo wakujilaumu maana aliye leta haya mamno ya mungano ni mtu toka bara(JKN) na sasa wazanzibari wanatutawala kwahiyo tutulie dawa ituingie
 
Nyie mnapiga kelele tu hamna mnachujua mnaongozwa na chuki kuliko huo uhalisia wa muungano. Kule Sudan ilikuwa rahisi kugawana vipande vya archi kutokana na nini??? Alafu jiulize kwann uamsho walivyokuwa wanakataa muungamo mnliwaita magaidi wemetumwa na western
 
Hakuna mambo ya kuchinjana hapa !
Marehemu Karume alisemaga tangu Enzi hizo kwamba huu Muungano ni kama mtu amevaa koti, ukiona limekubana unalivua tu na maisha yanaendelea kama kawaida !😅🙌👍
Kuna sehemu nimeongelea kuchinjana, kile ni kisiwa ambacho kinameguka Kila siku au hufahamu mpango wa UNESCO kukihifadhi, Kama wanakosa Had mchanga wa kujengea unategemea nini
 
Kama ni lawama basi sisi wenyewe ndo wakujilaumu maana aliye leta haya mamno ya mungano ni mtu toka bara(JKN) na sasa wazanzibari wanatutawala kwahiyo tutulie dawa ituingie
Niliwahi kusikia kuwa JKN ilimbidi kuhangaikia kuungana na Zanzibar kama clause moja wapo kati ya nyingi tulizopewa na Richard Turnbull wakati wa kuhangaikia uhuru na wala haikuwa kwa mapenzi yake mwenyewe. Hivyo maslahi ya muungano hayapo kwa CCM tu, nadhani hata Uingereza inahusika.
 
Yes naweza kukubaliana na wew japo sina hakika kama hao mabeberu wanafaidika mpaka sasa
 
Halafu huyu Mama kutoka nchi ya Zanzibar (In Lissu voice) kakuta Watanganyika wanaunganishiwa umeme wa REA kwa 27,000 huku Tanganyika kauondoa wakati huo huo kasamehe deni la Umeme nchi ya Zanzibar!.
 
Watanganyika ni wapumbavu sana, Wana watu zaidi ya milioni 60 lakini wanatawaliwa na nchi isiyo na watu hata milioni 2 na ubaya huyo mtu anafanya exploitation za mali zao maana anajua baada ya mda atarudi zao kwao kama wakoloni walivyofanya.
Na ubaya ni kwamba kuna watu wenye mamlaka na nafasi wako wanachekeana na kumsapot mali zetu natural resources zikiuzwa na kutaifishwa.
Ujinga wa kiwango cha SGR
 
Halafu huyu Mama kutoka nchi ya Zanzibar (In Lissu voice) kakuta Watanganyika wanaunganishiwa umeme wa REA kwa 27,000 huku Tanganyika kauondoa wakati huo huo kasamehe deni la Umeme nchi ya Zanzibar!.
Ni ujuha wa hali ya juu Baada ya mkoloni kuitawala tanganyika sasa ni zamu ya mzanzibar.
No wonder nchi za jirani wanawashangaa watanganyika.
 
Uhamiaji, Polisi, JWTZ, TISS ni Jamhuri ya Muungano. Hakuna Hati ya kusafiria ya Zanzibar.

Watawala wa Zanzibar walikasirika sana Magufuli aliposema kitambulisho kitakiwacho mtu anapoomba Hati ya kusafiria ni NIDA tu na cha Mzanzibari hakitakiwi.
 
Wananchi wa kawaida wa Tanzania(Watanganyika na Wazanzibari) wanapenda muungano kwa kuwa unawapa fursa zaidi za kiuchumi.
Changamoto ni kwa wanasiasa ambao huweka maslahi yao binafsi mbele zaidi ya yale ya taifa.
Hata hivyo, wananchi wanatakiwa kujengewa uwezo wa kuwadhibiti wanasiasa kifikra na kivitendo kwa mustakabali mwema wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…