Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

ila kongo wapo vizuri sanaa kivifaa kuloko unavyo zani tatizo tumekalili
Jeshi la Kongo hata ukiwapelekea Vifaa vipya vya kisasa wanaviuza kwa Wamaimai vingine wanaviuza kwa M23 vingine wanaviuza kwa INTERAHAMWE.

Ogopa sana Makamanda wa Jeshi wanaokesha Bar na kubadilisha Wanawake.

Sijui ni nani aliwaambia Wakongo kuwa kazi ya Jeshi ni kuua Raia na Kubaka Raia na kulipora Jeshi lenyewe.
 
Haya mambo ya vita wengi wanachangia kiushabiki sana plan zinaweza kubadilika mda wote ni vyema waleta mjadala wakawa na fact za kiintelijensia , kama yupo ndugu yako aliyeenda mission za kivita kama uko CAR, Sudan, Congo na kwingineko akueleze kidogo yaliyoko uko.
 
Mjaluo wa Kenya afuate sheria za Kenya, mmasai wa Tanzania afuate sheria za Tanzania Tanzania isimtumie mmasai wa Kenya kuivuruga Kenya,............no,nk, nk,.....
Vipi Taifa lako linapokuvua Uraia kwasababu Pua yako ni ndogo?
 
Sababu siyo pua, mwanzoni walitambuliwa ilikuwaje waka kanwa?. Wali under go metamorphosis kwa kuota pua ndefu?
Wahutu waliokimbila Kongo wanatambuliwa kama Wakongo lakini Watutsi wa Kongo ambao ni Wakongomani wanaitwa Wanyarwanda.

Tembelea Goma ndugu.
 
Mamlaka inayokuvua Uraia wako wa Asili sio ya kuitii hata kidogo.
Ukiisaliti nchi yako unyanganywe uraia na kuwekwa ndani pia. Siyo kutaka kuishi congo alafu uongozwe na sheria za Rwanda.......Ni mwendawazimu tu atakaye nvua mtu uraia wake kwasababu ya pua ndefu.
 
Ukiisaliti nchi yako unyanganywe uraia na kuwekwa ndani pia. Siyo kutaka kuishi congo alafu uongozwe na sheria za Rwanda.......Ni mwendawazimu tu atakaye nvua mtu uraia wake kwasababu ya pua ndefu.
Hivi unayajua madai ya M23 na umemsikiliza vizuri Baba wa Taifa Hayati Juliasi Kambarage Nyerere kuhusu Speech yake inayoongelea Banyamulenge?

Hii Vita haitaamuliwa kwa Mtutu itaamuliwa wa sheria za Kimataifa.

Na sio kuangalia pua kama Interahamwe.
 
Hivi unayajua madai ya M23 na umemsikiliza vizuri Baba wa Taifa Hayati Juliasi Kambarage Nyerere kuhusu Speech yake inayoongelea Banyamulenge?

Hii Vita haitaamuliwa kwa Mtutu itaamuliwa wa sheria za Kimataifa.

Na sio kuangalia pua kama Interahamwe.
Madai ya kupewa vyeo jeshini na serekalini?.
They should be loyal to their country
 
Madai ya kupewa vyeo jeshini na serekalini?.
They should be loyal to their country
Wamesaidia kumtoa Dikteta Mobutu Sese Sekko unataka Loyalty gani zaidi ya hiyo wakati Wacongomani wengine walikuwa hata kulalamika walikuwa wanaogopa na walikuwa wakimuabudu Dikteta Mobutu.
 
Wamesaidia kumtoa Dikteta Mobutu Sese Sekko unataka Loyalty gani zaidi ya hiyo wakati Wacongomani wengine walikuwa hata kulalamika walikuwa wanaogopa na walikuwa wakimuabudu Dikteta Mobutu.
Qpiganie maslahi ya Congo yote siyo vyeo. Kama ni vyeo hata Mobutu aliyefurushwa alikuwa na cheo.
 
Qpiganie maslahi ya Congo yote siyo vyeo. Kama ni vyeo hata Mobutu aliyefurushwa alikuwa na cheo.
Wahutu kutoka Rwanda ndio wanaitwa WAZALENDO wa Kongo halafu Watutsi wa Kongo wanaitwa Wanyarwanda huoni kama kuna TATIZO KUBWA hapo?

Watutsi wapiganie HAKI zao wasizubae Maadui ni WENGI.
 
Wahutu kutoka Rwanda ndio wanaitwa WAZALENDO wa Kongo halafu Watutsi wa Kongo wanaitwa Wanyarwanda huoni kama kuna TATIZO KUBWA hapo?

Watutsi wapiganie HAKI zao wasizubae Maadui ni WENGI.
Token kwenye nchi ya watu nyie watusi. Waachen wacongo waishi maisha yao. Mbona mnawaganda watu ?? Token huko bwana.. wewe ni mtusi.
 
Wahutu kutoka Rwanda ndio wanaitwa WAZALENDO wa Kongo halafu Watutsi wa Kongo wanaitwa Wanyarwanda huoni kama kuna TATIZO KUBWA hapo?

Watutsi wapiganie HAKI zao wasizubae Maadui ni WENGI.
Wanajiona watusi badala ya wakongo, wanajiona wanyarwanda badala ya wanyarwanda.
Nakataa dhana kuwa wanabaguliwa kwasababu ni watusi, wajibaguwa wenyewe kwakujiona wanastahili zaidi kuliko wengine?.....
 
Back
Top Bottom