Vita ya Ukraine na Urusi: Mwisho wa zama za vifaru umefika

Sasa mbona vita hajashinda mwezi umeisha au bado russia anajipanga

Putin halali usingizi aibu kujidai mwamba iko methali inasema kuchamba kwingi utaondoka na mafi, ndio putin kazima magazeti huru yote na fb, insta kazima, nadhani hata mtandao anataka azike kabisa watu wasijue kipigo hana jinsi
HUlizia waukraine wangapi wamekufa? Kila siku vyombo vya Ukraine vinavyotoka NATO zinaharibiwa.
 
Hypersonic akitumia eti kazidiwa, akiwapiga na silaha za kawaida asonge mbele taratibu eti hana uwezo.

Vita ni vita.

Russia wanafanya operation tu, Ukraine wanapigana vita, Russia ikianza vita dunia itasimama.
 
Huu Uzi uunganishwe na WA kula tunda kimasihara tu ...

You are very right. Ukweli ni kwamba Putin anaichapa Ukraine systematically n in the next two weeks Ukraine itakuwa imedhohofu kiasi cha kutokusimama tena kijeshi in the next 20 yrs. Yaani jamaa mashambulizi zake yanalenga kambi za jeshi, wanajeshi na miundombinu ya kijeshi
 
Dah! Analysis kali sana hii, kiukweli tunakoelekea itakua vita baina ya drones, vifaru havina umuhimu tena, maana hebu zingatia gharama ya kutengeneza kifaru kama hicho, ongeza gharama ya kukisafirisha hadi Ukraine halafu kabla hakijafanya chochote kinaliwa kombora moja tu linalofyatuliwa mabegani.....
 
Ha....eti Russia imeshindwa vibaya?!?!?! Incredible....dah...Sasa kwanini wanaotaka kuikimbia Ukraine bado wanaongezeka?! Kwanini Zelensky bado analia? Hizi ni propaganda tu za mitandaoni...ni dhambi kuleta propaganda wakati waukraine wanaendelea kufa kwa maelfu...
 
Aibu kwa Putin, ameonesha ni mtu wa hovyo katika karne ya wastarabu.
Hakuna aibu kwake ikiwa una akili timamu

Kwann unamtia aibu...ilihali hata mlio wa risasi huujui...?!!
Nchi yako huijui

Tia aibu nafsi yako kwanza ewe kondoo mweusi

Waafrika ni Watu wa ajabu sana.
 
Upo Ukraine au Tandale babaake vai....?!!!
 
Huu uzi umetosha leo nishushe pumzi vyema nikiwa na amani., zile Tank Russia tokea mapema zilikuwa zinaonekana kuingia kumbe jamaa wanachapisha Update yake Javeline na Stinger tena unaweka kwa bega tu
 
Wewe inaonekana umelishwa propaganda za kijinga za magharibi na zimekuingia mno mpaka kule kunako...kama Ukraine wanafanya vizuri kwenye hii vita mbona rais wa Ukraine leo ameomba aonane na Putin wayamalize na ameahidi kutojiunga na NATO? Acha mboyoyo dogo, mnajazwa ujinga na nyinyi mnaubeba hivyo hivyo bila kuchuja
 
Hilo bomu linaitwa hypersonic Kinzhal...linapiga sehemu yoyote duniani kwa muda wa lisaa tu limefika

 
Huu uzi wa kijinga
 
Linaitwaje hilo bomu lake toligoogle
 
Usi shahau Ukrain analinda nchi yake.usi sahau ya Vietnam
 
Hypersonic akitumia eti kazidiwa, akiwapiga na silaha za kawaida asonge mbele taratibu eti hana uwezo.

Vita ni vita.

Russia wanafanya operation tu, Ukraine wanapigana vita, Russia ikianza vita dunia itasimama.
Operation gan hadi hypersonic missile?Russia ni yenye nguvu ila sio kama mnayoisemea humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…