Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Taratibu watu wataanza kujifunza na kuwa na ufahamu mzuri juu ya haya mambo.

Nchi zetu zinapojiuza kama malaya kwa hawa watu, na kusahau kwamba wajibu ni wetu kujiletea maendeleo, pengine hata hao wanaotuuza nao wataanza kuingiwa na akili kichwani.
unaandika ukwel ila ttzo 2po vzr kwny kuandik kuliko utendaj kituko ni kuwa hata ww ukipewa fursa ya kuwatumikia wananchi utaishia kulitumikia kwanz tumbo lako , UJINGA bado kamudu kuwa adui wa kwanza kwa mtu mweusi
 
Hata yule katuni anaetumiwa na mabeberu wa ulaya na America yupo usingizi wa pono mara akizinduka nchi yake yote ilishaliwa himaya ya mrusi[emoji1732]
duh kuvamiwa ni kutumika ? fisiemu idumu asee
 
Leta chanzo chako Cha taarifa. Kwanini ndani ya miezi 2 TU Marekani imetumia Dola 60 bil kwenye vita hii? Ukweli ni kwamba silaha za western zinatekwa na kuunguzwa.
upo kitengo gan pale kwenye ardhi ya Comedy ? maana upo nyet sana
 
ila wahanga wa kuvamiwa ni sisi , tukijifanya tunajuwa interests ipo siku na wao watajifanya wana interests , ukiwa nje ya siasa unaeza ona viongoz wajinga sana , ila ukiingia ndo utaelewa ulikuwa una mitizamo ya kitoto
 
hujavamiwa
 
hujavamiwa
 
unaandika ukwel ila ttzo 2po vzr kwny kuandik kuliko utendaj kituko ni kuwa hata ww ukipewa fursa ya kuwatumikia wananchi utaishia kulitumikia kwanz tumbo lako , UJINGA bado kamudu kuwa adui wa kwanza kwa mtu mweusi
Mkuu, mbona unanitukana bila kunijua mimi ni nani?

Kama ninaandika ukweli kama ulivyosema, kwa nini uwe na mashaka juu ya ninachosimamia kama binaadam mwenye msimamo ninaouamini.
Tuliwahi kukutana popote ukaona matendo yangu ni tofauti na maneno yangu?

Lakini basi, si hata ungejaribu kujiridhisha, ukaangalia maandiko yangu humu JF kama yana dalili zozote za kuyumbayumba kiasi cha kutoweza kuaminiwa ninachosema?

Mwisho nimalizie kwa kusema, haitatokea mimi nitamani kuongoza nchi yetu, lakini niko tayari kuunga mkono yeyote anayejali maslahi ya nchi hii na wananchi wake na kuwaweka mbele katika mipango yake ya uongozi.

Na hawa wanaotapanya mali za nchi yetu, hatutaacha kuwasema eti kwa sababu hata sisi tukipewa nafasi tutatafuta kujinufaisha wenyewe na kusahau maslahi ya nchi yetu.
 
a nation with different nationalities , with different traditions ( dressing + Eating ) then utegemee vyote vipatikane ndani ya USA ?
 
ila wahanga wa kuvamiwa ni sisi , tukijifanya tunajuwa interests ipo siku na wao watajifanya wana interests , ukiwa nje ya siasa unaeza ona viongoz wajinga sana , ila ukiingia ndo utaelewa ulikuwa una mitizamo ya kitoto
Huu ni upuuzi. Kwani wewe unadhani kila binaadam ni muigizaji?
 
Yaani ukiitizama picha kubwa ya mabeberu ni kuitawala tena dunia kama makoloni Yao tena, ila Urusi, Uchina na Sasa India ndio kinakuwa kikwazo Chao. Lengo ni kuifuta Russia, lakini lengo lao ni vigumu sana kulifikia Putin akiwepo madarakani.
kwan West ndio waliovamia Ukraine ? siku ukivamiwa utawashukur tu uwepo wao dunian
 
duh umehishiwa hoja ?
 
Aliyekwambia kuwa Marekani Kuna uhuru wa maoni kakudanganya. Kuna wamarekani wanakufa na kusakwa kwa kufichua ukweli
hao mnaowa quote washatafutwa ? aya niambie yule mpinzan wa Putin yupo wap ? pia yule mwandishi aliyepinga vita yupo wap ?
 
Vita hii ni mpango wa Marekani na UK kuivuruga E.U hasa baada ya UK kujitenga na EU. Lengo ni kuvuruga uchumi wa German, France na Italy mataifa ambayo ndiyo nguvu ya EU
wakifanikiwa hilo watanufaika na nini ?
 
Point, hii vita inaenda kuwangusha Biden, Boris na chancellor wa ujerumani ktk box la kura, hili anguko lipo wazi
duh upo jimbo gan hapo kwa obama ? unatupa vitu nyeti sana msemaji wa wa wazungu
 
kila uhuru una mipaka yake , tambua hilo kwanza , unapewa uhuru wa kufanya jambo lenye maslai kwa taifa sio kutoa nyeti za nchi hlf useme uhuru
 
UN yenyewe ipokwa ajiri ya masilahi ya wakubwa, Haina maana yoyote kwa sisi waafrika. Ifikie pahali tutishie kujitoa Labda akili itawarudi UN.
kutwa kuomba , hata kweny ukoo wenu hauez mjali mliaji kila siku , mchango hana ila anataka kuchangiwa kila shughuli
 
tulikubaliana kuwa Urusi ndio superpower lkn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…