Kuna uthibitisho kuhusu huo ugonjwa wa akili?Putin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Kuna watu wana chuki binafsi na waarabu tu!nashangaa vita ya Ukraine imekua gumzo siungi mkono mapigano lakini kuna nchi zinapigwa kila siku na watu hawasemi jambo!Gadaffi aliifadhili bank ya Africa alifadhili mikutano yote ya Africa alitaka kuunganisha Africa..
Unawezaje kusema sio muafrica!?
Obama alikuwa Ameriacan au muafrika!?
Acha uzuzu
Mwanaume huwa anaishi katika kauli zake! Putin ni kidume aliweka mstari ulipovukwa tu kaninyooshea mrembo na anahitaji viherehere wengine wajitokezeMWANAUME KAMILI HUWA HAPIGI MIKWARA YEYE ANGESHAMBULIA UKRAINE AFU ASUBIRI ATAKAEINGILIA
HANA LOLOTE
Kipigo ni heavyView attachment 2130306View attachment 2130307View attachment 2130308View attachment 2130309Mmeshaanza kujitiisha huruma View attachment 2130215
Hahahahahah kwahio huyo mkenya anahisi Putin anatingisha matako? Ngoja awatumie ka drone kamoja hapo Nairobi akili iwakae sawa.Thread: Vladimir Putin Responds To Kenya Over UN Remarks. #UkraineRussiaCrisis
•Russian President Putin has rubbished the remarks by Kenya’s Permanent Representative to the UN as that of a young boy trying to shake a baobab tree but only ends up shaking his own buttocks.•
Naona wahuni wameweka mikwasa na magazine zake kuashiria ni msala 😂😂😂
Hahah tulia dawa iwaingieHiyo ni propaganda tu, tutajie wapo kwenye kikosi gani Cha Russia.
Mpaka vikosi vilivyokuwa deployed ni Chechen battalion na Buryat battalion
Putin sio mgonjwa, nyie ndio wagonjwa wa akili!Ina maana uonevu wa Marekani huko Libya ndio una halalisha uonevu wa Urusi kwa Ukraine?
Putin ni mgonjwa wa akili, ila vikwazo vikali vya kiuchumi vitamnyoosha yeye na genge lake la wahuni
Haukupi haki ila unakupa reference ya kupanga hoja yako!Ina maana uovu wa hasimu wako ndio kunakupa haki na wewe kutenda uovu...?
Hahahah show kali huko Ukraine vidude vinamwagia kama maji ya mpira😂😂😂Mbwa kala mamba
Project IGI 4 😆😆😆[emoji635][emoji1255][emoji298]Footage of destroyed Ukrainian radar stations near Mariupol. https://t.co/tBxzuZFFx8View attachment 2129698View attachment 2129699
Vita ile ya Yemen na Saudi ndani yake kuna Mmarekani anayemsapoti Msaudi, vilevile Mmarekani anamtumia Saudi Arabia kama kivuli ili aendeshe operesheni zake za kuwatafuta wafuasi wa Alqueda. Kwa mujibu ya BBC panorama operesheni hizo za US mpaka sasa zishaua raia 24 wasio na hatia.ICC na BBC waliomba uchunguzi ufanyike ili walio husika wahukumiwe na ICC, US akawawekea vikwazo baadhi ya majaji wa ICC.Kauli ya kuseme sisi Waislamu, umeitolea wapi, umeipata kwa nani? Usilete udini katika hili, hakuna tamko la waislam, hapa kila mmoja yupo upande aoona ni sahihi kwa mtazamo wake, hakuna hata mmoja anaepigana kwa ajili ya uislam baina ya hao.
Haya kule yemen wanagombana na saudi arabia mbona majority wanaunga mkono vikosi vya yemen na sio saudia ilipo makkah kabisa!?
Atapata kichapo cha historia. Bidden mwenyewe kabana kende huko anakimbilia kwenye kumsusia urusi tu kwenye vikwazo. Akipeleka kikosi tu ujue kaisha maana atatumiwa vidude hapo hapo Washington DCPutin kasha sema atakayeingilia atambaka bila mafuta
Nchi moja ila Ukraine inataka kuingiliwa na Mamluki wa Nato wanaokuja ku plant mbegu ya fujo! Putin amekataa Ukraine kuungana na Nato maana ndio ingekuwa mlango wa kuja kuiharibia kama taifa. Nato wakalazimisha hilo Putin kasema isiwe tabu anaichukua Ukraine kabisa iwe chini yake anairudisha kuwa sehemu ya RussiaKwanini wanapigana tena hawa si walikuwa nchi moja wajameni
"Akili za kuambiwa changanya na zako" maono ya Gadafi aliwaza mbali .... Afrika iungane na iwe kitu kimoja.Sisi waafrika n wajinga Sana
Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakini hakuna aliyepiga kelele
Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana
Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi
WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
HahahahahahahahBara zima silaha inayoweza kutengenezwa ni mshale tu
Hahahahah Tit for Tat inakuwaje hapo wazee kwamba wazee wa Ulaya wajiandae kwa chai nao ama nini ?JUST IN | Russia will respond to European and US sanctions in tit-for-tat manner, MFA says
#SputnikUpdates