Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Daahh....+254 mpooooooo.....wakenya na kiherehere sijui wataacha lini. Continue shaking your....
Na mkae kimya msije kumfanya Putin akakosea hesabu likatua huku kwetu tz.
 
Hii show angekuwa Trump ingewaka kotekote bila kujali matokeo
Hahahaha Trump na Putin wanaelewana hao jamaa wote wana kaliba ya kiume ila hao mashoga wa Democratic kina Obama na Bidden ndio huwa wana wivu wa kike siasa zao ni za looting lazma wapeleke ukuda nchi flani au mapandikizi ili wafanye fujo mahali flani waibe.

Kwa mrusi huo ujinga hawawezi wamejaribu kupeleka ukuda Ukraine imekula kwao! Wanaingiaga kwa mlango wa nyuma kwa wenzao ili wajivue lawama😂 mrusi taarifa zao anazo na kawanyoosha Ukraine.
 
waache wapigane, Watanzania tutawauzia chakula, au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ingekuwa miaka ya nyuma hapo ingekuwa vita vya tatu tayari, ukisoma vita vya kwanza na vya pili, mambo yalianza hivi hivi
 
Sawa sukuma gang bado hamtaki kuamini km mama ndio rahisi na mtalia sana muiteni majina yote yy kaziba masikio anachoangalia maendeleo ya watanzania
 
Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.
 
Shauri yake,hiyo ni master plan ameingia mkenge,
Yani anapita mulemule walimomchorea mstari.
 
Democratic ni watu wa vita sana tofauti na republica ni vile tu Obama alikuwa Democratic ndio maana waafrika Wengi bado wanakiunga mkono. Ila mapigano mengi Africa yaliasisiwa na viongozi wa democratic.
 
Yule Team Biden aliyekuja na kale kauzi kake jana anajisikiaje muda huu? Haya sasa Mbabe halisi wa dunia Putin amesha lianzisha! Tuone sasa kama hicho kibabu Biden kama kitajibu mashambulizi.
Joe Biden haiwezi vitaaa maneno mengi na vitisho ila angekua mwamba George Bush mbona saivi tuna zungumza vingine hahahahhaha
 
Daahh....+254 mpooooooo.....wakenya na kiherehere sijui wataacha lini. Continue shaking your....
Na mkae kimya msije kumfanya Putin akakosea hesabu likatua huku kwetu tz.
Putin ataharibu mitandao ya kompyuta ya majirani Hadi washangae.
Nchi Ina watu Wana kiherehere utafikiri mke wa mjumbe?
 
Vita ya 3 ilikuwaje na ilikuwa mwaka gani?
Vita ya 3 ilikuwa ni vita baridi/kisiasa na uchumi lkn hivi sasa kinacho endelea ni mwanzo wa maandalizi ya vita ya 4 ya Dunia.
Super powers zinataka kujipima na kuonyeshana nguvu zao za silaha za kivita.
ngoja kwanza tusubirie.....tuone upepo utakavyo vuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…