Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

[emoji23][emoji23]sasa mtu anayetaka kubaka huwa anapiga kelele like "nabaka niacheni msiingile"
Yeye si mbabe a Put-in kimyakimya ajilie mzigo.
Hiyo ni kumaanisha kuwa hafanyi kitu kwa kubizia au kubahatisha, anaingia sehemu kibabe na kwakutoa tambo ili msije sema alifanya ambush.

Jambazi linalojiamini linakuja mchana, wanaokuja kimyakimya usiku ni vibaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunegotiate na nani? Kumbuka hapigani na ulaya, hawachukui mateka wanajeshi wa USA ila anapigana na ndugu yake, jirani yake na aliyekuwa mrussia mwenzake miaka ya huko nyuma.
Ila unakubali kwamba Ukraine anakuwa anafata wishes na command za USA na NATO mpaka Sasa Odessa, kharkiv , Mariupol na Chinobyl vimeshaangukia mikononi mwa Russia halafu mzee VLADIMIL anmwita VLODOMYLY wakazungumze
 
Ila Putin ana biti.

Nimesikia. Ila baada ya kuwasikiliza bidden na waziri mkuu wa uingereza namlaumu kwa kukosa ushawishi kwa jirani na ndugu yake ukrain mpaka akakubali vita atakavyoshinda kisha apambane na matokeo ikiwemo vikwazo. Kwangu mm huo ni udhaifu.
 
Ila unakubali kwamba Ukraine anakuwa anafata wishes na command za USA na NATO mpaka Sasa Odessa, kharkiv , Mariupol na Chinobyl vimeshaangukia mikononi mwa Russia halafu mzee VLADIMIL anmwita VLODOMYLY wakazungumze
Kukosa ushawishi kwa majirani zako, ndugu zako, warussia wenzako kihistoria mpaka uwapige kisha ww uwekewe vikwazo vya kiuchumi ni udhaifu mkubwa sana.
 
Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.

Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.

Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.

Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.

"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".

Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.

Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.

Long live Vladimir Putin Chuma.
Tusubiri mwisho wa siku bado mapema sana
 
Sisi waafrika n wajinga Sana

Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakini hakuna aliyepiga kelele

Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana

Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi

WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha kusingizia Afrika,waarabu wana umoja wao usiojali mipaka ya kimabara ili mradi tu jamii husika ni waarabu sasa wewe mmatumbi jifanye hujui.
 
Yaani anaitetemesha dunia hapo nahisi anatafuta njia ili Russia iwe superpower state.
Ukitaka kujua kama anaitetemesha dunia achana na mahaba, usikae upande wowote. Fuatilia huu mzozo kisha acha akili yako iamue. Utagundua kuwa:
Russia ana nguvu kubwa.
USA na washirika wake wana nguvu kubwa.
Russia anadhibitiwa na USA na washirika wake kwa kutumia akili kubwa.

Mfano sasa katoka kumpiga Eukraine ambaye ni mwenzake(Hawa hawakutakiwa wawe na ugomvi kutokana na historia ujirani wao, ni ndugu hawa), anatakiwa adeal na vikwazo ila USA na washirika wao wapo tu wanatoa matamko hawapigani.
 
Ukitaka kujua kama anaitetemesha dunia achana na mahaba, usikae upande wowote. Fuatilia huu mzozo kisha acha akili yako iamue. Utagundua kuwa:
Russia ana nguvu kubwa.
USA na washirika wake wana nguvu kubwa.
Russia anadhibitiwa na USA na washirika wake kwa kutumia akili kubwa.

Mfano sasa katoka kumpiga Eukraine ambaye ni mwenzake(Hawa hawakutakiwa wawe na ugomvi kutokana na historia ujirani wao, ni ndugu hawa), anatakiwa adeal na vikwazo ila USA na washirika wao wapo tu wanatoa matamko.
Hakika ngoja niendelee kufuatilia huu mzozo kwa ukaribu zaidi.
 
Kukosa ushawishi kwa majirani zako, ndugu zako, warussia wenzako kihistoria mpaka uwapige kisha ww uwekewe vikwazo vya kiuchumi ni udhaifu mkubwa sana.
Hatua Moja huanzisha nyingine, wanampiga halafu ndio wanamuelekeza nini cha kufanya.

Nikuulize swali kwani NEO NAZI na MANATIONALIST wa Ukraine waliingia kwa sanduku la kura au mapinduzi ya kumtumia nguvu
 
Putin amerukwa na akili....

Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..

Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.

Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Mmeshaanza kujitiisha huruma
IMG_20220116_220226.jpg
 
Hatua Moja huanzisha nyingine, wanampiga halafu ndio wanamuelekeza nini cha kufanya.

Nikuulize swali kwani NEO NAZI na MANATIONALIST wa Ukraine waliingia kwa sanduku la kura au mapinduzi ya kumtumia nguvu
Ndugu yangu Kisiju. USA wamekuwa wakitumia hiyo njia ya propaganda muda sasa. Mnapigana yeye anachochea na kutoa silaha na kutaka vikwazo.

Russia ikiingia kwenye huu mtego haki ya nani vikwazo vitampoteza kwenye ramani na USA hana kubwa analopoteza.

Siku russia akiwa na ushawishi kwa ndugu na majirani zake bila kuwapiga Mmarekani na washirika watapata wasiwasi.
 
Back
Top Bottom