Vita zina mambo mengi sana. Niger wamefunga anga lao. Mali nao wakifunga wanigeria watapata tabu sana kusafiri

Vita zina mambo mengi sana. Niger wamefunga anga lao. Mali nao wakifunga wanigeria watapata tabu sana kusafiri

No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
Bado una imani kua Wagner walitaka kumpindua Putin?
 
Nimeona hii habari sehemu. Jana ilikuwa mwisho wa muda ambao serikali ya Niger iliyompindua Rais ilitakiwa kuachia madaraka au ukabiliwe na kipigo kutoka ECOWAS. Mali na Burkina Faso zimesema kuwa zitasimama na utawala wa Niger.

Sasa Niger wamefunga anga lao. Hakuna ndege kupita. Na ndege kutoka Ulaya kwenda Nigeria hupita Niger. Sasa itabidi zizunguke. Mali nao wakifunga itazibidi zizunguke mbali kabisa na kuongeza gharama kwa wasafiri. Vita hata ukiwa mkubwa lazima ikuathiri.

View attachment 2710780
Ila kwa Putin haijamuathiri ila Urusi anawasumbua mataifa 30
 
wakifunga anga zote za Mali na Niger watakuwa wamemjibu vizuri Nigeria.
watumie muda huu vizuri waongee na Urusi wajenge umeme wa nyuklia.
Shabikien wafanya mapunduz bila utaratibu sabab naamin mna vichwa vya kuku kwamba mpk leo ni mwanajeshi gan alileta mabadiliko akiwa kama rais aliyeingia kimapinduz , baada ya miaka 10 tutakuwa tunalia kutaka watolewe madarakani
 
No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
Kbs , na waafrika wanafurahia kuletewa vita wao wanazan ni kupata uhuru ila wakisogea mbele kdg wakiona uhalisia wa nn Putin anakileta Africa , bas tutamlaumu sn Putin , Putin analazimisha tuwe upande wake kwa kutumia madhaif ya West ambayo hata yy hatoyamaliza
 
Rafiki hivi kwa akili Yako unaamini hao Vagner wangeweza kumpindua Putin?
Na je una habari zotezote juu ya uasi wa Chechen kutaka kujitenga miaka ya 90?
Na je unawajua wachechen vizuri?

Na je
Unajua putia alimalizaje shoo hiyo?
Rudia kusoma ulichoandika na jiulize hoja yako ni ipi? Kuwa hawakutaka kumpindua au walitaka mpindua ila hawakuwa na jeshi imara kumpindua kama chenchen !
 
Ambayo imeharibiwa na Marekani na vikundi vyake vya kigaidi!!? Ila mnampongeza .... Bora wazazi wako wangetumia kondomu tu...kuliko kuleta kiumbe hovyo kama wewe humu duniani...
Hao wapiganaj waafrika hawakujua kuwa wanaharib bara lao la afrika mpk tusiwalaumu na tuwape lawama waamerika ? wanaenda wenyew nunua silaha za urusi ili kuwaua watu weusi wenzao na lawama mnawapa USA
 
Sawa. Ngoja nitumie uwepo wangu wa bahati mbaya kukupa elimu.
Ugaidi wa Africa chanzo ni middle east countries kwa kushirikiana na ngozi nyeusi.
Uhovyo unahisi mimi ninao ndiyo umefunga akili zako hata uoni namba ukutani.
Tukutane Calvary.
Watu weng wanajitia upofu ila watakuja elewa baadae
 
Hao ndio wanmgambo wanaofadhiliwa na ufaransa hakuna cha alqaeda wala alshabab wanaanzisha vikundi mpigane muwe bize na kuuwana wao wanazoa mali
Nyiny mnauana hamuna akili ya kujua mnauana ?
 
Duh, kifupi wagna ni sehemu ya jeshi kivuli la urusi na prigozhin kateuliwa tu, huu no mwamvuli wa kuweza kuingia popote muda wowote bila kuvunja sheria za kimataifa ndio maana Wagner hawanunui silaha kutoka rushia ila wana demand supply
Na mnaona sahihi wagner kusaidia hayo mapinduzi , na mnahisi mnapata uhuru kwa kubadili beberu , waafrika sijui nan alituroga baada ya miaka 10 ya kuona rangi halisi ya warusi tutaanza walilia watoke , AKILI ZETU ZIMEKAA KITOMASO SN
 
Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali, hakunaga mshindi kwenye vita.
Uroho wa Nigeria ni kupata Dili la ujenzi wa Bomba la gas kwenda Ulaya ambalo ni lazima lipite Niger baada ya Mrusi kuwakatia gas wazungu.
Na unaona ni sw michezo ya Urusi kutuharibia waafrika ktk biashara zitakazo toa ajira na fursa ya kujenga chumi zetu , mnajizma akili ila ikifika muda mtaelewa
 
Ugaidi ni sera na mipango ya wakuu wa dunia kupitisha ajenda zao sawa na ilivyo ushoga, corona,nk.
Ila kwann wanatumia dini ya mwarab na silaha za urusi na ulaya ya mashariki sio silaha za west ?
 
Putin Lengo lake ni Africa kupata technolojia ya nuclear energy so that we raise to the global stage be counted as men
Korea Kaskazini ya Kiduku ina nuclear energy na kila siku inapewa msaada wa chakula na Kora Kusini na China.
 
Watu walikuwa wanaichukulia poa RUSSIA ila alichokifanya Syria watu wote wakabaki wameduwaa waasi syria walikuwa wameshaiteka mikoa yote ukabaki mji mkuu tu Damascus pekee..yani fikiria kama Tanzania apa yani miji yote itekwe ibaki dar pekee unatoboaje? RUSSIA alivyotia timu tu mpaka leo hii Assad anaenda mpaka sokoni bila ulinzi faa masiala nini[emoji23][emoji23] hakuna cha ISIS wala Al Qaeda wote walifyekelewa mbali leo hii tunavyoongea Syria karudishwa Kwenye jumuiya ya umoja wa kiarabu..leo hii Asad anatoka mpaka nje ya nchi..
Syria yote imebaki kuwa magofu na ghost town.
 
Alqaeda ilianzia Taliban baada ya wataliban kumchapa kwa msaada wa USA,Mrusi miaka ya 70 alipoivamia Afghanistan.
Ugomvi wa USA na Mrusi ni hadi mwisho wa Dunia japo wote members wa freemason ndio wapo nyuma ya hii michezo yote
ProRussia mnapenda sana hadithi za conspiracy theories.
 
Back
Top Bottom