Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya .

Mbona hawatuambii kilichomo ndani ya vitabu.
 
Kwamba hiyo taasis marufuku kufanya kazi tabora ila mikoa mingine ruksa!!

Kwamba serikari ya awamu ya tano haipingi ushoga.

Kuna kitu hakiko sawa.
 
Ningeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.

Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Kuna Prof Juma Kapuya na Athuman Kapuya
 
Ningeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.

Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Nadhan unazungumzia JUMA Kapuya
 
Ningeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.

Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Kumbe Prof. Kapuya ndo Athuman?
 
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya.
aul Chacha ameifungia Taasisi hiyo isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kutokuendesha shughuli zake ndani ya Mkoa wa Tabora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.

Juma Athumani Kapuya alikuwa waziri wa Wizara gani? [Hausiani na hii story , nimemkumbuka tu]
 
Back
Top Bottom