Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi bora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.

Wizara ya mambo ya ndani inasubiria nini kufuta usajili ya hiyo NGO?
 
Saiv ukiwa na ki NGO kuna mapene mengi mno kwenye mirad ya kupromot ulawiti , kuna jamaa zangu wasabato walinga NGOs yao ya sharia sababu hio walikua wanapata funds za kutosha kwa shart la kupambania ulawit ,
 
Ingetusaidia sana kama wangekuwa wanatoa na maudhui ya hivyo vitabu yaneandaliwaje ili tuwe na mwanga na mradi huu wa kishetani!
 
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya.


Wasabazaji wangapi wako chini ya ulinzi huku wakisubiri uchunguzi kukamilika?
 
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya.

bora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.

Hongera sana RC wetu
 
Hizo habari zisiwe zinatangazwa bali wahusika wawe wanauwawa kimya kimya 😌
 
vitabu ndo mnakamata ila kina.......... delicious au ...........wa mbeya wanatamba tu,, kwanin wasikamatwe wahusika kama kwel ni haramu ivo vitendo!?
Serikali ni butu sana hili eneo, inapwaya pwaya.
Unang'ata huku inapuliza, wakiwagusa wale hata huko south korea hawataenda watapigwa ban
 
Serikali ni butu sana hili eneo, inapwaya pwaya.
Unang'ata huku inapuliza, wakiwagusa wale hata huko south korea hawataenda watapigwa ban
aloooh na uko korea ndo kuna wakaka warembo na walaini kuliko ata mimi aseeee🙌🏾🙌🏾,, halali sirikali ipwayepwaye
 
Zamani hawa Mashoga walikuwa wanajulikana kwa jina la Wase***. Ni nani alilibadilisha hili jina?

Hata kwenye makala za VoA ungemsikia Mtangazaji Jerome Danford Kasembe akimjulisha msikilizaji kwamba "Makala ya leo inaangazia HAKI ZA WASE*** BARANI ULAYA".

Basi nilikuwa nacheka sana nikisikia jina hilo, tena redioni. Kisha nastaajabu, mwanaume mzima anakubalije kuwa Mse***?
 
Back
Top Bottom