Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora


Ni Athuman Kapuya Foundation, taasisi ya Athuman Kapuya

Leo imeamuriwa na RC wa Mkoa wa Tabora ndugu Paulo Chacha, Athumani Kapuya akamatwe na kushitakiwa kwa taasisi yake kuingiza maelfu ya vitabu vya msaada na vifaa vingine kama gloves, pads za kike nk kupitia taasisi yake vyenye maudhui ya kufundisha watoto ushoga..


======
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paulo Chacha akiwa katika Wilaya ya Kaliua amesema vitabu hivyo vimewekwa kizuzini baada ya serikali kupitia watalamu wake kubaini kuwepo kwa uchafu wa maudhui katika vitabu hivyo ambayo vimeingizwa Wilayani humo na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kwa lengo la kuvitoa msaada kwa shule za msingi na sekondari.

Akizungumza Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Dkt. Amini Joseph ameongeza kuwa Msaada huo wa vitabu uliingizwa Sanjali na vifaa tiba ikiwemo vilainishi na taulo za kike.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Dkt. Rashidi Chua chua amesema shehena hiyo imekamatwa ikiwa na vitabu zaidi ya elfu nane ambavyo huenda vingezifikia shule za msingi 139 na za sekondari 32 katika wilaya hiyo.

Kufuatia Sakata hilo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha ameifungia Taasisi hiyo isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kutokuendesha shughuli zake ndani ya Mkoa wa Tabora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.

Pia soma:
 
View attachment 3008803

Ni Athuman Kapuya Foundation, taasisi ya mwanaCCM Athuman Kapuya ambaye amewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kaliua Tabora, waziri mwandamizi ndani ya serikali chini ya CCM...

Leo imeamuriwa na RC wa Mkoa wa Tabora ndugu Chacha akamatwe na kushitakiwa kwa taasisi yake kuingiza maelfu ya vitabu vya msaada na vifaa vingine kama gloves, pads za kike nk kupitia taasisi yake vyenye maudhui ya kufundisha watoto ushoga..

Hao ndiyo wana CCM bwana..
Kwanini unachafua jina la mtu? Unafaidika na nini?
 
Mkuu hizi mb Ulizotumia kupost hii thread bora unge-download EKSI 😏😏
 
Maskini ya Mungu Vitu ni vingi sana.huenda hakuwa anajua content ya vitabu vilivyokuwa imported, huenda alijua ni namna pekee ya kusaidia vijana kaliua kumbe huenda ikawa na maudhui isiyofaa kwa jamii.

N.B me nashauri taasisi zikatae imported vooks zitawaletea matatizo. Watume peasa uzinunue mwenyewe huku, au mkurugenzi awepo wakati wa kupark vitabu hivyo
 
RC Chacha kula nyama nyamaza

Unapigana vita ambayo hutakaa ushinde..
Pengine ukaharibu na carrier yako kwenye siasa mazima...
Be warned.
 
View attachment 3008803

Ni Athuman Kapuya Foundation, taasisi ya mwanaCCM Athuman Kapuya ambaye amewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kaliua Tabora, waziri mwandamizi ndani ya serikali chini ya CCM...

Leo imeamuriwa na RC wa Mkoa wa Tabora ndugu Chacha akamatwe na kushitakiwa kwa taasisi yake kuingiza maelfu ya vitabu vya msaada na vifaa vingine kama gloves, pads za kike nk kupitia taasisi yake vyenye maudhui ya kufundisha watoto ushoga..

Hao ndiyo wana CCM bwana..
Yule alikuwa profesa Juma Kapuya sio Asumani
 
This mofos wanataka waaanzie kwa watoto ili watu haribie watoto at a very young age... Hadi vilainishi now this is bad
 
Kwa kua hatupendi kusoma na wavivu usikute hata yeye aliyepewa msaada wa vitabu hakua amepitia maudhui ya vitabu husika.
 
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paulo Chacha akiwa katika Wilaya ya Kaliua amesema vitabu hivyo vimewekwa kizuzini baada ya serikali kupitia watalamu wake kubaini kuwepo kwa uchafu wa maudhui katika vitabu hivyo ambayo vimeingizwa Wilayani humo na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kwa lengo la kuvitoa msaada kwa shule za msingi na sekondari.

Akizungumza Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Dkt. Amini Joseph ameongeza kuwa Msaada huo wa vitabu uliingizwa Sanjali na vifaa tiba ikiwemo vilainishi na taulo za kike.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Dkt. Rashidi Chua chua amesema shehena hiyo imekamatwa ikiwa na vitabu zaidi ya elfu nane ambavyo huenda vingezifikia shule za msingi 139 na za sekondari 32 katika wilaya hiyo.

Kufuatia Sakata hilo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha ameifungia Taasisi hiyo isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kutokuendesha shughuli zake ndani ya Mkoa wa Tabora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.

Pia soma:
Ushoga utaitesa sana Tanzania wanaume siku hizi wanangonoana kwakweli yetu macho tutaona mengi
 
RC Chacha kula nyama nyamaza

Unapigana vita ambayo hutakaa ushinde..
Pengine ukaharibu na carrier yako kwenye siasa mazima...
Be warned.
Ushindwe we mwanadamu uliyekubali kuwa wakala wa Shetani.

Mwanaume mzima unalilia haki ya kuingiziwa dushe na aibu huoni? Shame upon you.
 
Ushindwe we mwanadamu uliyekubali kuwa wakala wa Shetani.

Mwanaume mzima unalilia haki ya kuingiziwa dushe na aibu huoni? Shame upon you.
Umenisoma vizur mkuu?

Mimi nishabikie ush@ga toka lini?

Mifumo yetu duniani ndiko inakoelekea na imeikumbatia...

Tuombeane, Nyakati za mwisho ndio hizi...

Hii vita sio ya nyama mkuu.
 
Huyo ni JUMA SIO ATHUMANI MKUU
Ningeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.

Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
 
Back
Top Bottom