Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mbona hawatuambii kilichomo ndani ya vitabu.Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya .
Yes; Alikuwa na shares.Nilidhani hiyo taasisi ni yake
Kuna Prof Juma Kapuya na Athuman KapuyaNingeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.
Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Hatuna akili yakutengeneza wala kusimamia vya kwetu.Sisi ni yatima wa akili.Moja ya matokeo ya kupenda vitu vya dezo
Msumari wa motoHatuna akili yakutengeneza wala kusimamia vya kwetu.Sisi ni yatima wa akili.
Nadhan unazungumzia JUMA KapuyaNingeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.
Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Yaan hawa mashekhe ovyo sn Mara sele Mara mtt idi sasa athumànSerikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi
Kumbe Prof. Kapuya ndo Athuman?Ningeshangaa kama ingefika post ya 10 bila Marekani kutajwa! Athuman Kapuya sio mtoto; wala sio maamuma! Ni profesa tena profesa wa elimu; msomi kweli kweli nchi hii. Amewahi kushika vyeo vingi nchi hii tangu uhadhiri, ubunge hadi uwaziri including wa elimu na ulinzi. Kafundisha na kukuza wengi Prof. Kapuya.
Kwa mtu wa kaliba hiyo, kulaumu wengine badala ya kujilaumu kwa ujinga wenu ni kujaribu kutafuta visingizio vya ku-justify ujinga huo. Kwani ni lazima kila mnachopewa na Marekani mpokee?
Yes; ni Prof. Juma Athuman Kapuya.Kumbe Prof. Kapuya ndo Athuman?
Naam; Prof. Juma Athuman Kapuya.Nadhan unazungumzia JUMA Kapuya
hebu tupe tafauti kati ya upinde na ushogaUjinga mtupu!
Utaambiwa picha za upinde ndo zinafundisha uchoko 🤣🤣
Kati ya upinde na ushoga kipi kilitangulia kuwepo? 🤣🤣🤣
We bichwa komwee weeee ,,,,,,,unapenda haya mamboUjinga mtupu!
Utaambiwa picha za upinde ndo zinafundisha uchoko 🤣🤣
Kati ya upinde na ushoga kipi kilitangulia kuwepo? 🤣🤣🤣
Laahaullah toba! Vimetoka nchi gani hivyo vitabu?
Juma Athumani Kapuya alikuwa waziri wa Wizara gani? [Hausiani na hii story , nimemkumbuka tu]Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya.
aul Chacha ameifungia Taasisi hiyo isiyo ya kiserikali ya Athumani Kapuya kutokuendesha shughuli zake ndani ya Mkoa wa Tabora wakati huo akiagiza kukamatwa kwa waratibu na viongozi wa Taasisi hiyo.
Mtaka cha uvunguni.Madhara ya kupenda mikopo,
Hayo ndio masharti yenyewe!!