Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

Hyuu pumbavuu watakuwa wanamgongaa uko marekani aisee yassin wee muuuwaji000
 
HIvyo vtabu vmepita bandarij vimekaguliwa hawakuonaaa ama ndio hela wachunguze walioptisha hawa kama wapo yataendelea tu
 
Kwani inahitaji siku ngapi kumtia mbaroni Athuman Kapuya na wale mapacha wake? Huku kuchukua hatua kwa kujivuta vuta ndiko kunakoyalea huu upuuzi.

Ova
Hivi unahisi mko serious kupambana na ushoga? Au mnaona raha kuutaja taja tyuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushoga kwa Tanzania ni kama ulishahalalishwa kinamna fulani hivi.

Hizo Taasisi zinajulikana na zinasajiriwa........vyombo vipi kila kona.

Kutoka povu kwamba unaweza kupambana nazo ni kujichosha tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unadhani yeye hajui? Anajizima dataa, akiamsha hali ni ile ile.
 
Ukiona mtu anapigia sana kelele ushoga mara nyingi utakuta anaogopa kugundulika kuwa nae ni shoga au ana matamanio ya kuwa shoga.

Amandla...
Umenena haswaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waumbue hawa.
 
vitabu ndo mnakamata ila kina.......... delicious au ...........wa mbeya wanatamba tu,, kwanin wasikamatwe wahusika kama kwel ni haramu ivo vitendo!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hatariiii
 
aloooh na uko korea ndo kuna wakaka warembo na walaini kuliko ata mimi aseeee[emoji1487][emoji1487],, halali sirikali ipwayepwaye
Nimechekaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakuwa wamegundulika mapema,sheria ichukue mkondo wake.
 
Kwani inahitaji siku ngapi kumtia mbaroni Athuman Kapuya na wale mapacha wake? Huku kuchukua hatua kwa kujivuta vuta ndiko kunakoyalea huu upuuzi.

Ova
Athumani Kapuya ni marehemu siku nyingi, miongoni mwa watoto wake ni Juma (waziri wa zamani) na Yasin anayeishi Marekani ambao wana mama tofauti.
Mwenye mradi huo ni Yasin wa Marekani sasa sijui tumtume DCI Ramadhani Kingai kwenda kumkamata kwa Biden na Trump?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ