Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Acheni kujusfify usenge wenu mnaoufanya.

Unaanzaje kumlinganisha mwanaume anayefanya michezo ya kisenge na anayegonga malaya pale Tandika kwa wahaya au Riverside?
Kuna tofauti gani ..hao Malaya pia si wanagongwa nyuma Tena Sana
 
Wana JF habarini za wakati huu.

Bila kuchelewa niende moja kwa moja kwenye mada.

Ni kwamba kwasasa kuna hili wimbi la mapenzi ya jinsia moja (ushoga na usagaji) lina make headlines sana duniani.

Na tumekuwa tukishuhudia zaidi nchi za magharibi zenye nguvu hasa Marekani na nchi za umoja wa Ulaya (EU) zikilazimisha uhuru wa watu wa mapenzi ya jinsia moja kwa nchi maskini au zisizojiweza kiuchumi hasa za Africa.

Tumeona Uganda, Kenya n.k zikitishiwa kwa vikwazo vya kiuchumi kwa sababu tu ya kuweka sheria kali dhidi ya LGBTQ+.

Pia tukaona makampuni makubwa kama google na Micro-soft zikiionya Uganda kuwa taifa hilo litaangamizwa kabisa kiuchumi iwapo Museven atatia saini muswada uliopitishwa na Bunge kuhusu wapenzi wa jinsia moja.

Na pia tumekuwa tukiona nchi hizo zenye nguvu duniani zikilazimisha mambo yahusuyo ukoloni mambo leo kwa africa kwa sababu tunajua huwa kuna faida kwao ili waendelee kuinyonya Africa au nchi za ulimwengu wa tatu ki-ujumla.

Sasa swali langu la msingi : Ni maslahi gani hasa labda kiuchumi,kisiasa au kijamii nchi za magharibi zitayapata iwapo sisi waafrica tutaruhusu ushoga ua usagaji ?

Mpaka wanatutishia vikwao that means hili jambo kwao lina advantage kubwa sana.

Sasa ni ipi hiyo advantage wanapata kwa sisi kuruhusu ushoga ? au ni hasara gani wanapata iwapo sisi tutakataa ushoga?

Nawasilisha.
 
Tujichunge na hizi plastics kama inawezakakana tumia sahani za udongo BPA kwenye plastic inaongeza hormones za Kike kwenye mwili wa Mwanamme.

Plastic contains chemicals such as BPA and phthalates which are classed as endocrine-disrupting chemicals (EDCs). These can mimic or block natural hormones in our bodies and can contribute to hormonal imbalances.3 Oct 2022

Nchi kadhaa sasa hivi wanatumia BPA Free Plastics.

Hormones za kike zikizidi zinasababisha uume kusinyaa na matiti kutoka na zinafanya Mwanaume apate hamu ya kufirwa.

Usitegemee Serikali itakuja kupiga marufuku vyombo vya plastic zenye BPA hata siku moja wewe mwenyewe chukua hatua wewe mwenyewe Linda familia yako.
 
Kwa nini baadhi ya mataifa ya Africa wana criminalize ushoga??
Kwa nini ushoga unafanywa jinai?
 
Wana JF tuwe makini na Plastics please Ndugu zangu.

Kavideo ni only one minute please watch.
 
Zinapata faida kubwa ambayo ni ile ya kudhibiti ongezeko la watu hasa katika nchi zinazoendelea. Hii ni kwa sababu muungano wa mwanamke na mwanaume ndo huongeza watu wakati LGBTQ ikitekelezwa hakuna mtoto anayezaliwa. Over.
 
tazama hii video fupi kuhusu efd receipts ili uuepuke ushoga.
 
Agenda ya Ushoga ni family planing sasa tumia akili ewe mwana JF.

Chunga familia yako kwa kuepuka Bidhaa za Plastic.
 
Nchi za magharibi zimeshaharibikiwa na zinajisikia vibaya sana!! Kwa hiyo wanataka nchi zote ziharibikiwe ili wasionekane ni wao tu walio washenzi!
 
Kawapime Vijana wako wa kiume mara kwa mara Hormones imbalances.
 
Ushoga ulikuwepo tokea milele lakini huu wa sasa ni MLIPUKO unasababishwa na Plastic Chemicals pollution ambayo imekuwa ajenda.
 
Vilaza wa Wizara ya Afya na TBS wako kwa ajili ya matumbo yao tu.
 
Ndugu yangu hata kama huna bando angalia hii video ya dakika sita.

Zinaathiri hata Quality ya Shahawa zako na zinakufanya uwe Mgumba

 
So next time wakati Wabunge vilaza wa CCM wanaposema Mashoga yauwawe na kupelekea kifo cha Milembe Suleiman

RIP Milembe Suleiman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…