mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kama humpendi si bora usimuongeleshe unamtishia ya niniKabsa sema hawa dada zetu wapo karibu nao sana yan, mm kuna mmoja alikua anakopesha sabuni alikua ananiogopa balaa nilimtoleaga panga mbele za watu maskani bas ilikua nikikutana nacho tu nikiambia aya leta buku 2 chap aping anatoea hapohapo usela raha
Hili nilishaliandika muda mrefu, lkn kuna MASHOGA wa aina nyingi.Ushoga ni matokeo ya shida ya akili. Mwanaume Smart hawezi kuwa shoga
2019 ilikua now niko mbeya nilikua namfanyia tu ubabe na usela mavi mwing na naanzaje kumpenda shogaKama humpendi si bora usimuongeleshe unamtishia ya nini
Sasa wakitoweka hayo masharti ya waganga wenu mtatimiza vipiii? Afu sio wotee wanafanyaa hivyo kisa ushirikina, wengine ni hisia zao kabisaaa.Nyie ndo mnaofanya nao wajione wanawake lakn ss weng tunawatumia kwa mashart ya mganga wa jadi
Ulikua humpendi ila buku 2 zake ulikua unachukuaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabsa sema hawa dada zetu wapo karibu nao sana yan, mm kuna mmoja alikua anakopesha sabuni alikua ananiogopa balaa nilimtoleaga panga mbele za watu maskani bas ilikua nikikutana nacho tu nikiambia aya leta buku 2 chap aping anatoea hapohapo usela raha
Umeandika ukweli mtupuuuu.Hili nilishaliandika muda mrefu, lkn kuna MASHOGA wa aina nyingi.
1- shoga aliyeanzishwa ushoga sababu ya kukosa ulinzi wa jamii akiwa mdogo. Ameingiliwa na wajomba, baba wadogo, kaka , baba wa kambo nk.
Mwisho wa siku lawama zote anakuja kulaumiwa tayari akiwa kijana HANDSOME. labda akiwa sekondari au kidato cha sita , pengine chuo kikuu au kwenye AJIRA.
Huku yule MWARIBIFU akionekana shujaa, mwenye kukemea vitendo hivyo na KUHESHIMIKA kwa jamii akipewa madaraka makubwa kisha kukutana tena na yule kijana aliyeMUHARIBU wakaendeleza UCHAFU.
2- HAWA ndo lile eneo la kuendekeza tamaa, kwa kuingia mjini kwa pupa, kushindwa kujiongoza na kukutana na WAZOEFU wa UHARIBIFU ambao hata JAMII haiwagusi kutokana na UHESHIMIWA wao.
SHUTUMA zooooote zinaelekezwa kwa watoa PETE, lkn wenye VIDOLE Hawa guswi. TUKUSANYE mashoga wote. WAULIZWE walianzaje, huo MCHEZO nakuhakikishia kwanza zoezi LITAPIGWA VITA USHANGAE.
MAana ni kuumbuka kwa watu ambao WANAKAA viti vya mbele kama WAHESHIMIWA kumbe ni VIDOLE VIVAA PETE na VIHARIBIFU.
Muongo ulikua unampenda sana2019 ilikua now niko mbeya nilikua namfanyia tu ubabe na usela mavi mwing na naanzaje kumpenda shoga
Mawazo yakoMuongo ulikua unampenda sana
Ubabe wangu ndo uliokua unanipa helaUlikua humpendi ila buku 2 zake ulikua unachukuaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikii ndo unawasumbuaa khaaaah
Mm sjafanya hvo ila nawasemea wanaume wezanguSasa wakitoweka hayo masharti ya waganga wenu mtatimiza vipiii? Afu sio wotee wanafanyaa hivyo kisa ushirikina, wengine ni hisia zao kabisaaa.
Unajua idadi ya Wamerekani?In America gays hawafiki 5% ya taifa zima.. hajawahi tokea raisi wa marekani shoga. Sasa sijui Nani anacontrol dunia mpaka google inaandika uwongo ..na sijui anafaidika Nini kwa sababu marekani wenyewe Kuna watu wanaupinga hivyo hivyo na maisha yanaendelea. Shida watu hawaijui hata marekani kila kitu wakiskia wanakubali. Tena south Africa Ina mashoga wengi kuliko marekani Kuna nchi ulaya zina mashoga wengi Ila watu hawafanyi research wanaconclude tu marekani kisa imeendelea muache wivu na bado tutaendelea kuomba misaada coz tumegoma kukua kiakili
Marekani ni mjanja hajawahi kuwa na Raisi mwanamke ila anawadanganya wenzieUnajua idadi ya Wamerekani?
Hiyo asilimia isiyofika 5 ni wamarekani wangapi?
Unawezaje kujua kama marais waliopita Marekani ni mashoga au lah?
..Dar kumezidi na Arusha..hakufai!
Zanzibar,Dar na Tanga...Dar kumezidi na Arusha..hakufai!
Mwanamke anaingiaje hapaMarekani ni mjanja hajawahi kuwa na Raisi mwanamke ila anawadanganya wenzie
Point yako ni Nini?Unajua idadi ya Wamerekani?
Hiyo asilimia isiyofika 5 ni wamarekani wangapi?
Unawezaje kujua kama marais waliopita Marekani ni mashoga au lah?
Hakuna kelele Anna kuhusu wasagaji na wafiraji... Kelele ni kuhusu wafirwaji tu huku wafiraji wakionekana mabingwa🤣🤣🤣🤣🤣Unamaanisha kwakuwa hamna kelele juu ya wasagaji basi si haki kupigia kelele ushoga?
Hakuna kelele Anna kuhusu wasagaji na wafiraji... Kelele ni kuhusu wafirwaji tu huku wafiraji wakionekana mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]