Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ushoga ni matokeo ya shida ya akili. Mwanaume Smart hawezi kuwa shoga
Hili nilishaliandika muda mrefu, lkn kuna MASHOGA wa aina nyingi.

1- shoga aliyeanzishwa ushoga sababu ya kukosa ulinzi wa jamii akiwa mdogo. Ameingiliwa na wajomba, baba wadogo, kaka , baba wa kambo nk.

Mwisho wa siku lawama zote anakuja kulaumiwa tayari akiwa kijana HANDSOME. labda akiwa sekondari au kidato cha sita , pengine chuo kikuu au kwenye AJIRA.

Huku yule MWARIBIFU akionekana shujaa, mwenye kukemea vitendo hivyo na KUHESHIMIKA kwa jamii akipewa madaraka makubwa kisha kukutana tena na yule kijana aliyeMUHARIBU wakaendeleza UCHAFU.

2- HAWA ndo lile eneo la kuendekeza tamaa, kwa kuingia mjini kwa pupa, kushindwa kujiongoza na kukutana na WAZOEFU wa UHARIBIFU ambao hata JAMII haiwagusi kutokana na UHESHIMIWA wao.

SHUTUMA zooooote zinaelekezwa kwa watoa PETE, lkn wenye VIDOLE Hawa guswi. TUKUSANYE mashoga wote. WAULIZWE walianzaje, huo MCHEZO nakuhakikishia kwanza zoezi LITAPIGWA VITA USHANGAE.

MAana ni kuumbuka kwa watu ambao WANAKAA viti vya mbele kama WAHESHIMIWA kumbe ni VIDOLE VIVAA PETE na VIHARIBIFU.
 
Nyie ndo mnaofanya nao wajione wanawake lakn ss weng tunawatumia kwa mashart ya mganga wa jadi
Sasa wakitoweka hayo masharti ya waganga wenu mtatimiza vipiii? Afu sio wotee wanafanyaa hivyo kisa ushirikina, wengine ni hisia zao kabisaaa.
 
Ulikua humpendi ila buku 2 zake ulikua unachukuaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikii ndo unawasumbuaa khaaaah
 
Umeandika ukweli mtupuuuu.
Case [emoji735]
 
Unajua idadi ya Wamerekani?
Hiyo asilimia isiyofika 5 ni wamarekani wangapi?

Unawezaje kujua kama marais waliopita Marekani ni mashoga au lah?
 
Unajua idadi ya Wamerekani?
Hiyo asilimia isiyofika 5 ni wamarekani wangapi?

Unawezaje kujua kama marais waliopita Marekani ni mashoga au lah?
Marekani ni mjanja hajawahi kuwa na Raisi mwanamke ila anawadanganya wenzie
 
Wakuu tunapinga ushoga tu,,mbona dada zetu wanasagana sana na hatupingi na vipi kuhusu wafiraji maana jamii yetu ipo kimya.!!!Au wasagaji na wafiraji waga hawafanyi kinyume na maadili ya jamii yetu???
 
Unamaanisha kwakuwa hamna kelele juu ya wasagaji basi si haki kupigia kelele ushoga?
Hakuna kelele Anna kuhusu wasagaji na wafiraji... Kelele ni kuhusu wafirwaji tu huku wafiraji wakionekana mabingwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna kelele Anna kuhusu wasagaji na wafiraji... Kelele ni kuhusu wafirwaji tu huku wafiraji wakionekana mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tatizo leko unaleta mashindano.
Hivi vitu usivifanyie mashindano bro, unaweza kukumbusha jamii kukemea wasagaji na wafiraji bila kushindanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…