Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hivi mtu unatumiaje muda wako mwingi kufikiria utumbo.

Kwann usifanye utafiti vitu vya maana mdogo wangu. Au wewe unapenda ushoga.

Okay kwa mfano ukagundua ni kweli utapata nini.
Itakuwa tumeokoa mapesa mengi kwanza yanayopelekwa sipo.
Kwa ujumla vitu vinavyofanyiwa utafiti vi vile ambavyo si vya kawaida kwa wengi au vimekuwa vya kawaida lakini vina madhara.
 
Naskia na huko Zanzibar imekuwa baada ya nyumba Kuna shoga1, baada ya nyumba shoga ni kweli????
mashoga weng wapo tanganyika maana ukipiga isabu idadi ya watu kupitia sensa ni asilimia kidogo sana wanaoishi zanzibar ukilinganisha na bara ,,katka uwo mchanganuo toa straight ,,toa watoto na wanawke naamin ni asilimia chache itakayobakia kwa wenye kujihusisha na tuhuma izo ,,,sasa piga isabu uko bara uone salaaaale kila kona kuna mchicha mwiba yani mpaka unaskia harufu za vinyec pindi ukipishana na mwanamme mwenzio tubadiliken ,,ila huyu mwamba nahis anachuki na bifu za kisenge na watu wanaoishi visiwani
 
100 days of sodomy . Hichi kitabu kingestahili kuchomwa moto.
 
RAINBOW 🌈 ni rangi iliyopo kwenye kiti cha enzi cha Mungu. Kuifanya kuwa Brand ya mashoga ni ushahidi LGBTQI ni shambulizi la kiroho kutoka kwa ibirisi anayetaka kujifanya Mungu mbadala.
 
Unafahamu kwamba kuongelea haya madude ni njia moja wapo ya kuyasambaza?
Mtu anaweza asijue hata uwepo wa haya madude lakini kitendo cha kuingina JF anakutana na huu uzi ambao umeelezea kila kitu kwa kina kiasi cha kwamba kuna mtu ana hitaji au kuna umuhimu wowote wa kujua kuhusu haya madude. Binafsi sijasoma huu uchafu sababu nitajiharibia siku nishindwe kula.

Acheni kuandika nyuzi kuhusu haya mafala, hiyo ndio itakuwa suluhuisho la kuondoa huu uchafu.

Sent from my G011A using JamiiForums mobile app
 

Ulichokifanya ni kama kujidanganya kuwa hili tatizo halipo wakati lipo na lina sambaa kwa kasi,ni vyema kulifahamu kiundani na kuchukua hatua stahiki za kukabiliana nalo.
 
Wewe ndio unaeinajisi gemu ya simba, tutafungwa kwa ajili ya huu uzi..

Kuna vitu vingine sio vya kuzungumzia, kuzungumzia ndio kupromote.
 
USHOGA IMEKUWA KAWAIDA SANA SASA HIVI,NDIO MAANA SHIRIKA MOJA LA KIKOREA LINAITWA GOOD NEIGHBORS TANZANIA LIMEKUWA MSTARI WA MBELE KUTANGAZA USHOGA HUKU KWETU UKEREWE. UKITAKA LIKUPE MSAADA WA ZANA ZA KILIMO NA UVUVI BASI SHARTI NI MOJA TU ANDIKA BARUA UKIELEZA WEWE NI MSHIRIKI WA MAPENZI YA JINSIA MOJA,SIKU TATU HAZIPITI UTALETEWA MBEGU,MBOLEA,MAJEMBE NA ZANA ZA UVUVI BURE. HAPA NDIPO TULIPOFIKIA
 
Mikoa ya Pwani ndio mikoa inayoongozwa na Idadi kubwa ya watoto wa kiume Pilau, watoto wa kiume mchele mchele, watoto wa kiume papai.

Tazama video haina hii hapo chini haina ya watu wanafahamika kwa kichambana na kutumia maneno ya aina hii ni watu wa Pwani.

View: https://www.instagram.com/reel/CyYPdj9qOG6/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Niliwahi kukaa mitaa ya gongo la Mboto, maeneo Africasana karibu na chuo cha Kampala. Siku moja niko mgahawani tunakula chakula nikiwa na binadamu yangu na rafiki yake ambaye walikuwa wanafanya kazi wote. Mara akaja Jamaa fulani hivi shombe shombe handsome boy white fulani hivi, akaja na jamaa wawili, huyo jamaa shombe shombe alikuwa ni mnene kimtindo. Basi wakaagiza chipsi kavu pale na vinywaji wakaanza kula, mmoja kati ya wale jamaa akaanza kumlisha chips mwenzake kimahaba. Kwa sababu mimi ilikuwa mara ya kwanza kuona wanaume wakilishana chipsi kimahaba ilibidi niulize kwa jamaa zangu niliokuwa nao maeneo hayo kwamba inakuwaje. Ndipo mkaanga chipsi akadakia na kudokeza kwamba huyo shombeshombe ndio chakula hapo, yani hao jamaa wanamnunulia bia mbili wanaenda kumkaza. Mimi binafsi nilishangaa sana kwa sababu kiukweli mashoga niliwahi kuwaona lakini kwa kuambiwa tu kwamba huyo ni shoga, na kweli Ukitizama pigo zake ni za kishoga... Sukuwai kuona aina ile ya mtindo wa kulishashana... Mimi na kuzaliwa kanda ya ziwa na kukaa mwanza na maeneo jirani kiukweli mitaa hiyo ya kanda ya ziwa ni ngumu kuona shoga, na kama wapo basi ni wa kujificha.


View: https://www.instagram.com/reel/CyfWeKzIEUo/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Lakini Mikoa ya Pwani mashoga kiukweli wako nje nje... Pwani ya Kenya na Pwani ya Tanzania kote mashoga nje nje wanajionesha wazi, wanagombania wanaume, wana sherehe zao, yani ushoga ni jambo la kawaida maeneo ya Pwani.

Usukumani na Uhayani nilipobahatika kukaa sana, ni nadra sana kuona Mashoga. Kwanza watakushangaa na kukuona kama umelaaniwa.


SWALI: ni kwa nini maeneo ya Pwani ndio yanaongoza kwa ushoga na kuhifadhi ushoga, au mtindo wao wa maisha ya uswahilini ndio unawabeba hawa mashoga, maana usukumani unaamka asubuhi ni kazi kazi kulima shoga lazima ataacha ushoga tu kwa kazi ngumu zilizoko huko. Lakini pwani shoga anavaa Dela na kupaka lipstick
 
Nahisi wakilala usiku wanakuwa na mawazo ya kuregret sana....maana mwanaume kubinuliwa na kukunjwa na mwanaume mwenzio yahitaji ujasiri sana aisee
 
Nahisi wakilala usiku wanakuwa na mawazo ya kuregret sana....maana mwanaume kubinuliwa na kukunjwa na mwanaume mwenzio yahitaji ujasiri sana aisee
Mtu anayebinuliwa uwezi kumuita mwanaume tena, huyo ashamuwa mwanamke.... Na vile jinsi mwanamke ujisikia baada ya kubinuliwa na huyu ujisikia hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…