Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio.
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture, audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.
Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture , audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.
Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture , audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.
Watanzania tunapenda kuleta mijadala kwenye mambo ya kipuuzi puuzi tu, kwenye matangazo ya Live suala la kukosea sio kitu cha ajabu, Tangu lini uliona taarifa ya Kifo cha mkuu wa serikali ikitolewa ikiwa recorded??!! Tujifunze kujadili hoja za msingi na sio kudandia kila mada kwa mihemko
Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture , audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.
Kila alichofanya kimepatana na taarifa mbovu zidhibitiwe na kitengo cha mawasiliano ili zisisambae. Na ndicho kilichopo hadi sasa yeye mwenyewe ameanza kwa kutoisambaza.
Au labda ni ile watu mna hamu sana ya kuona alipokosea ili mfurahie kuteleza kwa mwenzio. Sio ubinadamu ata nakuambia.
Kazi ya mtafiti kuwasilisha utafiti mtafiti mwengine anaenda kufanya gap liliopo ktk utafiti ule. Jukumu lako kuitafuta na kuiweka hapa. Usiwe kama mtoto wa ndege kila kitu ulishwe
Kazi ya mtafiti kuwasilisha utafiti mtafiti mwengine anaenda kufanya gap liliopo ktk utafiti ule. Jukumu lako kuitafuta na kuiweka hapa. Usiwe kama mtoto wa ndege kila kitu ulishwe
Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture , audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.