mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wanawateua watu huko upande wa media wanawaokota mitaani
Kujuana jana,unategemea nini!
Ova
Kuku wewe. Wewe hata familia yako ya 4 umeshindwa kuiongoza. Mh Samia anaongoza mijanadume mil 60 na kuungoza..Ssh uwezo wake ni mdogo.
..labda afungiwe ndani asionekane kabisa lakini vinginevyo lazima uwezo wake mdogo utathibitika mbele ya wananchi.
..Ssh alitakiwa awe na notes wakati akitoa taarifa ya msiba wa Mzee Mwinyi, lakini badala yake akaandikiwa neno kwa neno asome.
..Kilichotokea ni ajali ya Teknolojia ktk jitihada za kuficha uwezo mdogo wa DOKTA Ssh.
Cc Nguruvi3
Taarifa ilikuwa fupi sana hata notes za mistari 3 zingesaidia sana. Wasaidizi walitakiwa wajue madhaifu sijui kwanini..Ssh uwezo wake ni mdogo.
..labda afungiwe ndani asionekane kabisa lakini vinginevyo lazima uwezo wake mdogo utathibitika mbele ya wananchi.
..Ssh alitakiwa awe na notes wakati akitoa taarifa ya msiba wa Mzee Mwinyi, lakini badala yake akaandikiwa neno kwa neno asome.
..Kilichotokea ni ajali ya Teknolojia ktk jitihada za kuficha uwezo mdogo wa DOKTA Ssh.
Cc Nguruvi3
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Khaaa. Bongo kufa na stress labda upende mwenyewe. Hakika hii ni burudaniAliyekuambia kama mimi nipo hai ni nani? 🤔🤔
Labda anahisi JF ni kwa ajili ya binadam tu.... Hata sisi WAFU tupo JF 😁😁😁😁😁.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Khaaa. Bongo kufa na stress labda upende mwenyewe. Hakika hii ni burudani
#Nyafwili ni kama lina welekeo wa majina ya watu fulani wa kanda ya ziwa vile. By the way, "you made my day"Labda anahisi JF ni kwa ajili ya binadam tu.... Hata sisi WAFU tupo JF 😁😁😁😁😁.