mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Amezoea kule kwenye royal tuwa anakosemaga futa hiyoAngemalizia tu kusoma marekebisho yangetangazwa baadae kuliko hicho kioja kilicho fanyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amezoea kule kwenye royal tuwa anakosemaga futa hiyoAngemalizia tu kusoma marekebisho yangetangazwa baadae kuliko hicho kioja kilicho fanyika
Ben hajawahi kufanya ujinga kama huuJumbe Jeupe kumejaa vilaza tu. Wanajua kabisa upeo wa kiongozi wao halafu wanafanya tangazo live. Huyu ilipaswa apewe nakala ya anachopaswa kutangaza kuanzia saa 5.30 akariri halafu ikifika muda wa record, ihaririwe na ndio irushwe hewani lakini sio kumuweka mubashara.
hawanaga baya hao washkaji zanguAhahah huyu raraa reree na min -me kuna tetes kwamba ni chat Bot za JF sio watu hawa. Usiwaamini 😂😂😂. Ni programmed algorithms hizoz ndi maana zikianza kumwaga Likes utachoka 🤣🤣🤣
Ben was a genius na kummithilisha hata chembe na hiki kituko cha sasa ni kutukana akili kubwa mno.Ben hajawahi kufanya ujinga kama huu
Kama ni hivyo, basi kumbe hata wewe #Mlabata ni mwongo na mjanja mjanja. Hata comment yako ni uongo. Hata mimi ninachoandika hapa ni uongo😭😭😭😭😭Hii nchi kila mtu muongo muongo, mjanja mjanja, kuanzia kwa viongozi mpaka raia wake.
Wote sisi...Kama ni hivyo, basi kumbe hata wewe #Mlabata ni mwongo na mjanja mjanja. Hata comment yako ni uongo. Hata mimi ninachoandika hapa ni uongo😭😭😭😭😭
Na kwanini hawakuifuta?Kama ni live mbn kasema futa ?
Nchi hii hata jumba jeupe wamechoka yan wameona hiki kituko kirushwe tuu watanzania watasahau. Hata mi ninae andika nimechoka yaniKama ni hivyo, basi kumbe hata wewe #Mlabata ni mwongo na mjanja mjanja. Hata comment yako ni uongo. Hata mimi ninachoandika hapa ni uongo😭😭😭😭😭
😂😂😂😂😂😂😂. Bongo kuna mamboNa kwanini hawakuifuta?
Hatimaye leo ikiwa ni mwezi wa tatu (March) naiona komenti yako.Ina maana hakuipitia kabla
Dah hata sijui MkuuNa kwanini hawakuifuta?
Aliyekuambia kama mimi nipo hai ni nani? 🤔🤔Utakufa wewe au mzazi wako
Salama bruh mbona nipo sana humu 😄Hatimaye leo ikiwa ni mwezi wa tatu (March) naiona komenti yako.
Salama lakini kamanda?.
Kuwepo upo ila huonekani kwenye comments zaidi ya likes tu 😁!.Salama bruh mbona nipo sana humu 😄
Hatari snSasa usiandike kama vile wote tumesikia hiyo habari.
Weka na hiyo sauti ili na sisi tusikie.
MmmmWangekuwa na akili mpaka muda huu wangeomba radhi
Zipo ktk mitandao. Wanachadema washaanza kuzitumia kwenye X