Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
😬😬😬Hapo Ufipa st?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬😬😬Hapo Ufipa st?
Kama ni live mbn kasema futa ? ..ok ktk kurusha live km wanatumia Vmix kuna option ya kudelay kdg wangeitumiaLive?🐼
Ahahah huyu raraa reree na min -me kuna tetes kwamba ni chat Bot za JF sio watu hawa. Usiwaamini 😂😂😂. Ni programmed algorithms hizoz ndi maana zikianza kumwaga Likes utachoka 🤣🤣🤣Kumbe na wewe huwa una comment mkuu?
Kama siyo live mbona iko hewani na waliambiwa wafute?!Kama ni live mbn kasema futa ? ..ok ktk kurusha live km wanatumia Vmix kuna option ya kudelay kdg wangeitumia
Ni wapumbavu sio wazembeHakika, ni wazembe sana
Na wewe muda mwingine uwe unaacha ufala uanze kutumia akil hizo hizo japo chache ulizobakishiwaKama siyo live mbona iko hewani na waliambiwa wafute?!
Utakufa wewe au mzazi wakoKuna kiongozi natamani akate kamba hata sekunde hii... 🤒🤒
Wewe una akili kuliko Timu nzima ya Mawasiliano Ikulu?Na wewe muda mwingine uwe unaacha ufala uanze kutumia akil hizo hizo japo chache ulizobakishiwa
Wewe na mbwa wenzio hao mnafikiri kuwa ikulu ndio akili nyau kabisaWewe una akili kuliko Timu nzima ya Mawasiliano Ikulu?
Tutusa wahed 🐼
Mungu akubariki......uwe mjuzi zaidi na msemaji zaidi hadi wakukome!!Alijitahidi kujikaza asilie kwani ni Baba yake mzazi huyo mzee.😀😃😄
Duh 🙄 !Amepata dili la kupakia maparachichi kwenye fuso shambani.Atajongea.
Nasikia alikuwa tayari kupoteza kila kitu kwa heshma ya baba yake.. nasikia yule mtu sio muhuni ni mnyenyekevu.. nasikia tatizo lilikuwa msoga na kizimkaziHili tusilijadili Sana
Tujadili kwanni mwinyi Jr anatumia mwili was Bab ake lunufaika kisiasa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
usitake kutusanua kuwa raisi ni Kasuku tulikuwa hatujuiKIjana acha ushamba, hapo Rais yuko live na anahutubia kwa kusoma maneno yanayopita mbele ya Camera... Aliyeandika au kuandaa hayo maneno ndio kakosea na kumuingiza chaka Rais, kupelekea kusoma atazikwa tarehe 2 ndipo Rais akashituka kuwa Mwinyi ni Muislamu anapaswa Kuzikwa Leo Tarehe 1...
Hotuba uwa ni Live, na Rais anasoma kwenye Screen inayopitisha maneno
Akuje hapa tumuonyeshe Rais wa malimwengu yote, mama wa kukatana na mashoka, shujaa wa mashujaaa woteeeAmepata dili la kupakia maparachichi kwenye fuso shambani.Atajongea.
Basi wazembe hao watayarishajiKama siyo live mbona iko hewani na waliambiwa wafute?!
Angemalizia tu kusoma marekebisho yangetangazwa baadae kuliko hicho kioja kilicho fanyikaKIjana acha ushamba, hapo Rais yuko live na anahutubia kwa kusoma maneno yanayopita mbele ya Camera... Aliyeandika au kuandaa hayo maneno ndio kakosea na kumuingiza chaka Rais, kupelekea kusoma atazikwa tarehe 2 ndipo Rais akashituka kuwa Mwinyi ni Muislamu anapaswa Kuzikwa Leo Tarehe 1...
Hotuba uwa ni Live, na Rais anasoma kwenye Screen inayopitisha maneno