Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Una miaka mingapi ww mtoto wa kishua? Vipi unaogopa yule wa wanaume anayepita kny papuchi? Daa nataman uwe mwoga hivohivo nije tulale wote nisubiri usinzie mara paaa nyoka wangu shwaaa kny papuchi uliyopaka hio oil itapenya kiulaunii utabadilisha na mlio pia hutokaa uchukie nyoka tena
 
Tafuta Mume na hao nyoka hawata isogelea hata hiyo Nyumba yako, Wanaume tuna harufu flani hivi kuna baadhi ya wadudu haipendi kuisikia!!
 
Tatizo humu JF ulikokuja kuomba ushauri kumejaa Vijana lojolojo wa Dar, na wao wanaogopa nyoka.

Nakumbuka nikiwa na miaka 14 nikiwa Kwa Bibi kijijin huko Ndani ndani Bariadi siku Moja tukawa tunasikia Mbuzi analia Sanaa meeee meeeee meeeee


Mida hiyo Asubuh nilikuwepo Mimi na Mtoto mwenzangu tulikua tunaringana umri.


Aisee tukakimbilia kunakotoka sauti, kufika huyo Chatu, walalalala wosashashaa chatu huyo .


Sijui hata ilikuaje, nilijikuta nimemkamata shingo yule chatu ,huku namuambia mwenzangu ampige Kwa mpini ulikua pemben.

Yule Chatu akamuachia Mbuzi, Dogo akaendelea kutia kipondo tuu, Tulimuaa!!.
 
Matumizi mabaya ya yesu, kitoto cha nyoka tu hadi umwite yesu?
 
Waachie hiyo nyumba we jenga kwingine
 


Acha uwoga wewe watoto wa nyoka hawana sumu . Nyoka mwenye sumu ni yule mwenye miaka 18 - 50
 
Humu utadanganywa mengi tafadhali tafuta Mafuta ( Petrol ) kisha imwagie Kuzunguka Nyumba yako yote ( na ukiweza dondoshea Matone ) ndani ya Nyumba yako au Chumbani Kwako na hao Nyoka wakiendelea kuwepo tena njoo uninyang'anye Kitambulisho changu cha Taifa na Passport yangu iliyoisha muda wake sawa?

Kila la Kheri.
 
Nyoka wakiisha tu,penzi linaingia matatani🤣,ili kuonesha thamani yako bado ipo itabidi uanzee kudeki nyumba kuua sisimizi🤣
 
Ukiambiwa mwolewe mnajifanya wagumu masingomaza unaona sasa! Ukileta mchezo hao walinzi wanakusugua kinanihii! Tafuta kampuni za fumigation nyumba yote ipigwe fumigation watakaukiana humo ndani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…