Umameliza kila kitu [emoji122][emoji122]Alafu man usipende kutafuta suluhu kwenye makosa ambayo hujasababisha wewe hawa viumbe ukiwajali sana wanakudharau mwanaume unatakiwa ukaze siyo kila ukitikiswa unatikisika akigundua udhaifu wako ulipo atapiga hapo hapo mara kwa Mara kwahiyo hata Kama kagusa kwenye udhaifu wako usiwahi kumdhihirishia kuwa kakugusa pabaya Kama unataka kulia kalilie mbali ila ukirud hom mikausho ataongea tu mwnyewe ni kawaida hiyo
JF raha sana[emoji23][emoji1787]Nipe namba yake nimkanye
Ushauri murua sana namimi nimechukua point kwa matumizi ya baadae....Kwa nini anaku avoid mkuu??? au kasikia una mchepuko???lol...unahitaji kuongea nae openly, umuulize nini tatizo..?, kuwa direct and specific...Labda ukienda kazini, mwambie leo nikirudi nina mazungumzo na wewe..au mwambie tutoke nina mazungumzo na wewe, tafuta sehemu nzuri isiyo na kelele..ambayo unaona mnaweza mkaongea na kureflect kwenye muelekeo wa uhusiano wenu.....kisha mmuulize akuambie nini tatizo....mwambie siku hizi mwenendo wako siuelewi, kila nikirudi huna furaha, umenuna nini tatizo mke wangu, usionyeshe kukasirika wala kutumia lugha ya kumu accuse...lazima a
Haka kamtindo anako my wangu, utaskia " niko kawaida tu" hahhaha ukibembeleza kidogo tu anaanza kufunguka tuvitu tudogo tudogo ulivyofanya.Kusema ni ngumu kwa kuwa anataka kubembelezwa wewe ndio uanze kwa kumuuliza kuwa' babe mbona kamaaa.....hauko sawa" na bado utakuta anakujibu"hakuna kitu kawaida tu" hapo anahitaji kubembelezwa
[emoji23][emoji23][emoji23] dah nakubal dam yangDah! mwanangu sisi mabachela tukiingilia kati mnapaniki mnataka kutuua, sasa imagine huyo sio mke wangu ila najua ni nini kinachomsumbua wewe hujui.
Wanawake ndo tulivo..... Ndo tuneumbwa tu hvo..... Ndo upuuzi wetu huo....mkeo akifanya hvo mkomeshe usimchekee, usimsemeshe ovyo, usimshirikishe chchte. Hapo atazid kununa alf badae atakuchekea....Akikuchekea hapo mwambie hadi anune tenaJamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
View attachment 2254298
Picha kutoka maktaba
Umewakilishe vyema sana mrembo, Naomba ujengewe sanamu la heshima pale wilaya ya idununde kata ya kashibwa, karibu na nyumba ya mjumbe wa shina mzee mathayo[emoji41]Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.
Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Au ile amekuona asubuhi anakunywa uji wa mtoto
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
View attachment 2254298
Picha kutoka maktaba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na yote ,Linda Korodani zako bro. Kila siku bro.
Kama hamna housegirl, yupo dada mmoja kutoka Zanzibar apa ana taqo ni hatari anatafuta kazi za ndani, naweza kukuunganisha nae huenda mkeo kachoka kazi kila siku afue, apike, kudeki anahitaji msaidiziJamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
View attachment 2254298
Picha kutoka maktaba