Inategemea huyo anayenuna ni wa level gani. Kama ni matawi ya juu inabidi tu umbembeleze, kumsifia na mabusu kem kem.
Kama ni wa huku Mbagala kichemchem, nunua mchele wa Kyela kilo tatu, nyama iliyonona huku umeweka elfu tano mezani.
Ndugu kwanza utapelekewa maji bafuni ili uondoe kiwingu wakati anakatakata nyama huku amevaa khanga moja iliyorojoka na mdomoni anaimba taarab.
Kama ni wa Kimara mpigie simu bodaboda wako huku ukimuambie apitie kilo tatu za kitimoto hapo kwa Masawe kwani ulishazilipia asubuhi. Ghafla utaona manka anaanza kutabasamu na kuvaa nguo fupi fupi zinazoonyesha magoti.
Kama ni wa huku Mbagala kichemchem, nunua mchele wa Kyela kilo tatu, nyama iliyonona huku umeweka elfu tano mezani.
Ndugu kwanza utapelekewa maji bafuni ili uondoe kiwingu wakati anakatakata nyama huku amevaa khanga moja iliyorojoka na mdomoni anaimba taarab.
Kama ni wa Kimara mpigie simu bodaboda wako huku ukimuambie apitie kilo tatu za kitimoto hapo kwa Masawe kwani ulishazilipia asubuhi. Ghafla utaona manka anaanza kutabasamu na kuvaa nguo fupi fupi zinazoonyesha magoti.