kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
-
- #41
Ulozi FCHapo je...π
kwamba ukiishi sehemu ipi unakua mtu yupi au w a aina ipi1.pahala unapoishi.
2. Cover la Simu.
3. Ring tone ya simu yako.
Laiki zisi...βΊKwenye kiatu hapo ndiyo penyewe kwa maana ukitambulishwa watu wanaanza kukuangalia toka chini yaani kwenye kiatu
Lakini heading imetosha kuonesha maana kamili ya mada au uzi huu.utuambie na maana sasa jazia hio thread wstu wapate muongozo
kiatu flani na maana yake
Yategemea na mkoa ulipo.kwamba ukiishi sehemu ipi unakua mtu yupi au w a aina ipi
fafanua
Hawajawahi kukuambia unatumia Mjani?Nakumbuka enzi zile nasoma Education pale Udsm nilikua kichwani naachia nywele ndefu sana halafu niIikua napenda kuvaa sana pensi yaani iwe lecture, seminar popote PIA nilikua na ule ukauzu flani hivi, Kuna baadhi ya lecturers walikua wanasema " we dg utaweza kuwa mwalimu kweli mbona una mambo ya ki-gangstar sana, punguza uhuni" Halafu classmate wangu walikua wananiita Rasta/culture.... Halafu huwezi amini sikua na uhuni wowote zaidi ya mavazi TU...
haoana ila content inahitaji brieficationLakini heading imetosha kuonesha maana kamili ya mada au uzi huu.
Ni kweli ila Kuna wengine sijui Huwa hawajiangaliagi kwenye kioo πSiku hizi kuvaa miwani kubwa imekuwa fashion
Baby zao wakiwaambia wamependeza kwao inatosha kabisa πNi kweli ila Kuna wengine sijui Huwa hawajiangaliagi kwenye kioo π
Kweli lakini mada imeelewekahaoana ila content inahitaji briefication
Walikua wanahisi hivyo ingawa situmii kabisa...Hawajawahi kukuambia unatumia Mjani?
Vipi kuhusu kuvaa kanzu?Sijda na ndevu mingi mingi unaonekana mstaarabu mtu wa Mungu.
Wao wanasema kubaki bila ndevu ni ishara ya usafiMuonekano wa Mwanaume anaekwangua ndevu kidevu kinabaki kipara huwa namuona kama DeeeM.
Matapeli wapo lakini sio wengi kiasi cha kutokuamini mionekano ya watu wote mtaaniSisi matapeli muda wote tunakaa smart
Sasa jichanganye
Mimi ukiniona hutaamini kama ni DALALI
na si unajua UDALALI na UTAPELI vimetenganshwa na very thin margin