TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
- Thread starter
- #101
Hii ipo mkuu in real life sema haitokei ovyo na wabongo wengi huiforce..
wakati nitendo linakujaga automaticaly bila wahusika kujielewa mnajikuta tu..
Unatembea zako njiani uko bize na simu. Ghafla unagongana na mdada aliebeba makorokoro kibao na yanaanguka chini (always huyu mdada lazima awe pisi kali). Anachuchumaa kuyaokota na wewe unamsaidia.
Wakati mnayaokota unamshika mkono.. anakuangalia usoni na wewe unamuangalia macho yanagongana... mnaangaliana kama dakika mbili halafu taratibu mnaanza kusogeleana mpaka midomo inakutana mnakiss, mvua inaanza kunyesha na kuanzia hapo mnakua wapenzi! Kesho yake mnaonekana mko beach mnakimbizana na kumwagiana maji....Life is so easy kwenye movies.😂😂