Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Daah..acha tu hii nchi ina mambo ya hovyo kabisa..kuna dogo alikua kipanga sana darasa la 7 enzi hizo..matokeo kuja jina halionekani asee.

Kumbe wahuni walishanunua jina wakapachika mtoto wao..dogo alikua kafaulu kwenda moshi tech.

Daah..dogo alilia sana..sema uzuri mzee wake kidogo naye alikua serikalini alipambana mpaka jina likaja na dogo akapata nafasi yake akaenda kusoma moshi tech sasa hivi dogo ni engineer anakula maisha tu.

Bongo bila pesa..au konekisheni haki yako unaweza kuiona inaondoka mbele yako hivi hivi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hizi ndizo kazi ukisomea zinakutafuta na sio kuzitafuta huko ulimwenguni. Vijana someni hizo kozi hapo na muajirike duniani maana ndio fami zenyewe hizo.
Nani kakudanganya au kukuaminisha mkuu? Kwa taarifa yako tupo wengi Sana humu ndani wenye Dani hizo[emoji115] na bado tupo tu mtaani. Mpaka Kuna Uzi mmoja kule jukwaa la kazi na ajira unahusu kupeana koneksheni kwa fani za engineering na kila mtu analia mkuu.
 
Aaaah uongo bhana, mimi mbona sijawahi pata kazi kwa connection wala kunyang'anywa haki yangu?
 
Acha kuandika hivi,,,,Kuna mabaya mengi Sana yanaendelea wakati wa usaili na for sure hata officen kwako yapo,,,,ikiwa huyatendi wewe basi Kuna wenzio
 
Kwa uandishi wako brother jipange. Mbali na connection, lugha pia muhimu hasa kuandika
 
Juzi kati hapa kwenye mwezi wa 4 hivi mwaka huu, tuliitwa interview Taifa gas,walikua wanataka Business Development managers wawili.uzuri kwenye interview tulikua wawili na nafasi zinazotakiwa ni mbili pia.ila cha ajabu tukasikia wameajiri watu wengine tofauti na sisi tuliofanyiwa usaili.nikabaki kushangaa tu kwa kilichotokea.
Ila uzuri mmoja wa hizi kazi za kubebana madhara yake huwa yanaonekana mapema kabisa, efficiency ya kazi huwa ni zero kwenye taasisi husika.
 
Takukuru, tiss hawana matumbo, hawana mahawara, hawahitaji kundesha VX V8 na BMW X6 0km??
Hapa ni Afrika, tumbo kwanza mengine baadae!

#WapiKamandaMbowe
 
Unanikumbusha nikiwa nafanyiwa interview ya mtandao mmoja wa simu somewhere in Tz..tuko watu 14 na wanahitajika wawili....sasa wahuni washatoa handout kwa muhuni wao ya ile kazi inataka nini na kipi cha msingi kwenye ile kazi...basi naona nice boys wamekuja kwenye interview na mademu zao na ma pamphlet makubwa balaaa kuhusu huo mtandao...mi nikasema hiiiiiiii......basi full kumeza madude hadi ya kiuchumi..nikawaonea huruma ila ndo venye sikua na chakufanya kuwasaidia..maana survival for the fittest (maana usipomla simba haimaanishi kuwa yeye hatakukula eti kwakua umekua nice kwake)..... interview kuisha tu..ata ghetto sijafika kazi iko mkononi......from that time sijawahi kuomba kazi bila kuwa na connection..maana kinachoendelea huko kwenye ma interview ata shetani haungi mkono
 
Visa ni vingi sana mkuu acha tu
 
Mkuu kwa hiyo ulikuwa na connection hapo?
 
Huku makanisani ndio hasa wachawi wanapojificha kwenye chaka la UKRISTO.

Unaweza kukuta ASKOFU MCHAWI NA AMEVAA JIMSALABA KUBWA.
 
Tatizo lenu nyie interviewers mnauliza maswali ya KUKARIRI kama kasuku.

MFANO: Nyerere alizaliwa mwaka gani?Bwawa la mtera lilizinduliwa na nani?

Total Bullshit. Uliza maswali ya utendaji kazi. Practical question.

Some questions are too silly with no academic value.

Mbadilike. Acheni mentality za kinjekitile.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…