Yaani nilishangaa sana niliposoma notice board wa mwisho yaani 95 ana average ya 64Hao ndiyo unakuta darasa zima wamepata Div one. Wanakuwa wanazidiana point tu. Kwa wastani huo hata angekuwa wa 80 ni poa tu kwangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo unakuta namba zimechengana balaa, haziendi hata kwa MAGAZIJUTOKuna dogo ye kafungua report yake, kabadili namba halafu uso mkavu hashtuki Wala Nini, [emoji28]na hajafanywa kitu
Sie enzi hizo ufungue report kabla ya mzazi, adhabu yake Ni kuchapwa mbele ya shule nzima
Mwalimu aliomba Elf 45 mwezi uliopita kwaajili ya Uniform ya mtoto (Huyo alisimama chini).View attachment 1809651
Haki ya mungu hatoiona pepo ya mungu.
Yaani nilishangaa sana niliposoma notice board wa mwisho yaani 95 ana average ya 64
hii safi sana inaelezea jinsi darasa lilivyo la moto.Mtoto wa jirani kawa wa 60 kati ya wanafunzi 95 ,huku akiwa na wastani wa 85 na wa kwanza ana wastani wa 98
Dogo kaniambia tu amekuwa wa nne au wa 16 so nichague mimi amekuwa wangapi. Alafu kasepa zake masjid! Ni mdogo chekechea ya pili na maongezi yalikuwa ni katika simu.
dah[emoji23]Huyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
πΉπΉπΉHuyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
Yani dogo anaona poa tu, anasema ripoti Ni yake sio ya wazazi wake,,, ππ[emoji23][emoji23][emoji23]hapo unakuta namba zimechengana balaa, haziendi hata kwa MAGAZIJUTO
Yani unajisikia vibaya mno,bahati nzuri nilimdanganya kuwa siku hiyo nilikuwa nimekunywa β chunguβ (Red wine) huwa anaiita hivyo. So sikuwa vizuri,but next time sitokunywa kwanza chungu mpaka tumalize H/Work,akajibu βOk Mama next time be carefulβ lkn moyoni nilijisemea leo nimepuyanga mwanangu[emoji3][emoji3].
Baba Swalehe umeona vituko vya uzi wako, huyuAlexander the great mwenyewe [emoji23][emoji23]
Junio kama.junio
Mbona nzuri hiyo mkuu, anakua nayo hadi std 5. Hahaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jumong
Achatu yaani walimu wanaleta homework utadhani wanaugomvi na sisi wazazi khaaaWatoto ndo wanarudi likizo
Swalehe hapa karudi kawa wa 34 namwuliza imekuwaje umeporomoka toka namba moja ananambia
Baba kwani elfu moja na elfu kumi ipi kubwa nkamjibu elfu kumi
Akanambia Basi sawa mzee , Mimi ndo namba kubwa hapo kuliko wote π na kuliko pacha wake Micaela (yeye kawa wa tano )nmeshindwa kumjibu chochote maana Kuna homework alileta akakosa zote nlifanya nae kwenda shuleni wakamwambia wewe na baba yako wote wajinga π₯π
Nmewaacha na ugomvi hapa yeye na dada ake waamue nani ana namba kubwa π€¦πΎββοΈ
Wewe umekutana na kituko gani ?
Hawa huwa wana makusudi sanaTrue story.
Kuna dogo alikuwa anafanya vibaya shuleni.
Akapeleka ripoti kwa baba yake. Ripoti mbaya.
Baba akamuuliza, imekuwaje umefanya vibaya hivi?
Mtoto akajibu, mimi sina akili, sina kumbukumbu. Nikisoma nasahau.
Baba akawa kama kakubali jibu. Hakuhoji zaidi.
Siku mbili zikapita, yule mtoto akaona mtu anasoma gazeti. Akaomba yule mtu akimaliza kusoma ampasie gazeti.
Dogo akawa anafunguka, anasema anataka kuangalia msimamo wa ligi, kwani Simba ina pointi hizi, Yanga ina pointi hizi, magoli ya kufunga mangapi, michezo iliyobakia mingapi, akawa anatiririka data nyingi za soccer pale.
Sasa yule baba yake pale pale akamuuliza. Wewe si umesema huna akili, shuleni ukisoma unasahau? Sasa haya mambo ya msimamo wa ligi mbona unayakumbuka vizuri sana?
Baba akasema, wewe tatizo lako si akili, akili unazo nzuri tu, tatizo lako huna interest na shule.
Kwann mkuu ππMgumba,mwanamke au mwanaume asiyezaa akiingia kwenye huu Uzi anaweza akalia na kuzimia au anaweza kumkufuru kabisa Mungu kwa kutompa Mtoto.