Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Kuna msela yeye akikosa, akikaribia kufika nyumbani anaanza kulalamika kuwa mwalimu kamkosesha. Ukimwambia kweli umekosa anakuwa mbishi.

Hizi akili sijui anazitoa wapi, kanajifanya ka-einsten flani hivi.

Amrkuwa wa 16 kati ya 94
Ni ka einstein kweli mkuu 😁
 
Mimi pacha wangu tuliahidiana atakaeingia top 10 anapata baiskeli kali zile za kisasa.

Wamepambana kweli kujisomea watimize ile ahadi. Bahati mbaya mmoja kawa wa 42 mwingine wa 38.kati ya 126
Shule yao matokeo ya mitihani kitaifa huwa wanapata grade A wanafunzi 80% ,B 20% hawanaga grade C.

Nimenuniwa siku ya pili sasa, tukishasalimiana tu hawataki stori na mimi. Sasa sijui kosa langu liko wapi?

Wanataka " niwakope" baskeli halafu mwezi wa 12 ndio wapambane kuingia top 10.nimewaambia HAKUNA!
Wakopeshe mzee 😁
 
Mimi pacha wangu tuliahidiana atakaeingia top 10 anapata baiskeli kali zile za kisasa.

Wamepambana kweli kujisomea watimize ile ahadi. Bahati mbaya mmoja kawa wa 42 mwingine wa 38.kati ya 126
Shule yao matokeo ya mitihani kitaifa huwa wanapata grade A wanafunzi 80% ,B 20% hawanaga grade C.

Nimenuniwa siku ya pili sasa, tukishasalimiana tu hawataki stori na mimi. Sasa sijui kosa langu liko wapi?

Wanataka " niwakope" baskeli halafu mwezi wa 12 ndio wapambane kuingia top 10.nimewaambia HAKUNA!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Please wakopeshe Watoto,watakulipa hiyp December.Utoto bwana,umenikumbusha mdogo wangu nikiwa Secondary yeye yuko Darasa la kwanza aliniambia Dada nikopeshe shs 50,nikamuuliza utanilipa lini? Akajibu siku akiokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hapo pa H/Work nilishawahi kumkosesha pia swali moja wa kwangu,alinilaumu sana,yeye alikuwa sahihi ila hakuwa na uhakika. Mimi nikampa alternative kumbe ndiyo nimepuyanga.Tangu siku hiyo,akiomba usaidizi inabidi nimuombe anipe muda nijifue kwanza kimya kama sina uhakika.Sitaki kurudia tena lile kosa.
Bwana kumbe mambo ya msingi yamebadilika mie bado nina elimu yangu ya ngumbaru nimekariri vya zamani. Kumbe alphabet siku hizi wanazisoma tofauti, mie nikakazana na ya zamani akaniambia tu "mama wewe hujui" akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wazazi niwakumbushe sana badala ya kuangalia mwanao kawa namba ngapi focus kwenye wastani. Yani angalia performance na sio position.

Maana anaweza kuwa wa kwanza kumbe anaongoza vilaza wenzake. Mfano anakuwa wa kwanza halafu ana wastani chini ya 50 hapo kuna nini sasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Please wakopeshe Watoto,watakulipa hiyp December.Utoto bwana,umenikumbusha mdogo wangu nikiwa Secondary yeye yuko Darasa la kwanza aliniambia Dada nikopeshe shs 50,nikamuuliza utanilipa lini? Akajibu siku akiokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Wanatilia huruma sana walitegemea makubwa.ntawanunulia kuwafariji,naona hawana raha kabisa kwa matokeo[emoji1][emoji1]
 
Bwana kumbe mambo ya msingi yamebadilika mie bado nina elimu yangu ya ngumbaru nimekariri vya zamani. Kumbe alphabet siku hizi wanazisoma tofauti, mie nikakazana na ya zamani akaniambia tu "mama wewe hujui" akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] Mambo ya Sound a,sound ba,sound ku (c) hao tena ni Kindergaten.Haki kazi ipo sisi tuliosoma Kayumba ya enzi za kina Mwinyi na Mkapa
 
Wazazi niwakumbushe sana badala ya kuangalia mwanao kawa namba ngapi focus kwenye wastani. Yani angalia performance na sio position.

Maana anaweza kuwa wa kwanza kumbe anaongoza vilaza wenzake. Mfano anakuwa wa kwanza halafu ana wastani chini ya 50 hapo kuna nini sasa?

Na hii kwangu ndiyo huwa nafocus,nikiona ana A+ kwangu hata awe wa 20 anapata zawadi.
 
Wanatilia huruma sana walitegemea makubwa.ntawanunulia kuwafariji,naona hawana raha kabisa kwa matokeo[emoji1][emoji1]

Yes,wanunulie but kwa hayo makubaliano kuwa ni Mkopo,unawadanganya wakifail Dec kufikia malengo unabeba Bicycles zako,nakuhakikishia hapatakalika,maana watakuwa wameshaonja na uzuri wa kuride bicycles.
 
Back
Top Bottom