Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
- Thread starter
- #81
NomaMtoto wa jirani kawa wa 60 kati ya wanafunzi 95 ,huku akiwa na wastani wa 85 na wa kwanza ana wastani wa 98
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NomaMtoto wa jirani kawa wa 60 kati ya wanafunzi 95 ,huku akiwa na wastani wa 85 na wa kwanza ana wastani wa 98
Ni ka einstein kweli mkuu 😁Kuna msela yeye akikosa, akikaribia kufika nyumbani anaanza kulalamika kuwa mwalimu kamkosesha. Ukimwambia kweli umekosa anakuwa mbishi.
Hizi akili sijui anazitoa wapi, kanajifanya ka-einsten flani hivi.
Amrkuwa wa 16 kati ya 94
Ntamletea muda na wasaa asiotarajia 😍Anapenda midoli haswa Teddy bear [emoji3]
Hahaha msalmie sanaDogo kaniambia tu amekuwa wa nne au wa 16 so nichague mimi amekuwa wangapi. Alafu kasepa zake masjid! Ni mdogo chekechea ya pili na maongezi yalikuwa ni katika simu.
Wakopeshe mzee 😁Mimi pacha wangu tuliahidiana atakaeingia top 10 anapata baiskeli kali zile za kisasa.
Wamepambana kweli kujisomea watimize ile ahadi. Bahati mbaya mmoja kawa wa 42 mwingine wa 38.kati ya 126
Shule yao matokeo ya mitihani kitaifa huwa wanapata grade A wanafunzi 80% ,B 20% hawanaga grade C.
Nimenuniwa siku ya pili sasa, tukishasalimiana tu hawataki stori na mimi. Sasa sijui kosa langu liko wapi?
Wanataka " niwakope" baskeli halafu mwezi wa 12 ndio wapambane kuingia top 10.nimewaambia HAKUNA!
HahahahaaNa mwanangu junior yeye lipoti kapoteza na hajui kawa wa ngapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] karibu.Ntamletea muda na wasaa asiotarajia [emoji7]
Mimi pacha wangu tuliahidiana atakaeingia top 10 anapata baiskeli kali zile za kisasa.
Wamepambana kweli kujisomea watimize ile ahadi. Bahati mbaya mmoja kawa wa 42 mwingine wa 38.kati ya 126
Shule yao matokeo ya mitihani kitaifa huwa wanapata grade A wanafunzi 80% ,B 20% hawanaga grade C.
Nimenuniwa siku ya pili sasa, tukishasalimiana tu hawataki stori na mimi. Sasa sijui kosa langu liko wapi?
Wanataka " niwakope" baskeli halafu mwezi wa 12 ndio wapambane kuingia top 10.nimewaambia HAKUNA!
Hizi sifa za matokeo nimezikoga sana enzi hizo, kuna raha sana kusifiwa ukiwa mtotoWatoto wanapenda sana kusifiwa..hongera zake though!
Mgumba,mwanamke au mwanaume asiyezaa akiingia kwenye huu Uzi anaweza akalia na kuzimia au anaweza kumkufuru kabisa Mungu kwa kutompa Mtoto.
Bwana kumbe mambo ya msingi yamebadilika mie bado nina elimu yangu ya ngumbaru nimekariri vya zamani. Kumbe alphabet siku hizi wanazisoma tofauti, mie nikakazana na ya zamani akaniambia tu "mama wewe hujui" akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hapo pa H/Work nilishawahi kumkosesha pia swali moja wa kwangu,alinilaumu sana,yeye alikuwa sahihi ila hakuwa na uhakika. Mimi nikampa alternative kumbe ndiyo nimepuyanga.Tangu siku hiyo,akiomba usaidizi inabidi nimuombe anipe muda nijifue kwanza kimya kama sina uhakika.Sitaki kurudia tena lile kosa.
Wanatilia huruma sana walitegemea makubwa.ntawanunulia kuwafariji,naona hawana raha kabisa kwa matokeo[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Please wakopeshe Watoto,watakulipa hiyp December.Utoto bwana,umenikumbusha mdogo wangu nikiwa Secondary yeye yuko Darasa la kwanza aliniambia Dada nikopeshe shs 50,nikamuuliza utanilipa lini? Akajibu siku akiokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Bwana kumbe mambo ya msingi yamebadilika mie bado nina elimu yangu ya ngumbaru nimekariri vya zamani. Kumbe alphabet siku hizi wanazisoma tofauti, mie nikakazana na ya zamani akaniambia tu "mama wewe hujui" akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazazi niwakumbushe sana badala ya kuangalia mwanao kawa namba ngapi focus kwenye wastani. Yani angalia performance na sio position.
Maana anaweza kuwa wa kwanza kumbe anaongoza vilaza wenzake. Mfano anakuwa wa kwanza halafu ana wastani chini ya 50 hapo kuna nini sasa?
Itabidi iwe ivo maana wanajifungia ndani tu hawataki stori na mimi,wamenunaaa...Wakopeshe mzee [emoji16]
Magari tusiwe nayo ,hata watoto nao tukose..Jf naikubali sana.
Tunacomment kulingana na uzi
Hapa kila mtu ana mtoto[emoji23][emoji23]
Wanatilia huruma sana walitegemea makubwa.ntawanunulia kuwafariji,naona hawana raha kabisa kwa matokeo[emoji1][emoji1]
Tena nataka tuandikishiane kabisa,[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]Yes,wanunulie but kwa hayo makubaliano kuwa ni Mkopo,unawadanganya wakifail Dec kufikia malengo unabeba Bicycles zako,nakuhakikishia hapatakalika,maana watakuwa wameshaonja na uzuri wa kuride bicycles.