Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Mimi siku hizi kama sielewi nakaa pembeni nampigia Mwl anieleweshe kama nitakuwa nimeshindwa kupata jibu sahihi.Sitaki aibu tena ya kumkosesha mtoto wakati anaamini Mama ni Kipanga [emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah baada ya hapo ndio ilibidi niwe na mawasiliano mujarab na mwalimu wake maana mambo ya "mama wewe hujui" siyataki tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maana wakati nimekazana na ile ya zamani akawa ananitazama tu usoni kama hanisomi hivi, ndio akaona mambo yasiwe mengi akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787]
 
Mpaka leo keshakuwa mtu mzima namkumbushaga anilipe deni langu na yeye anajibu bado hajaokota[emoji23][emoji23].Utoto raha sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli uwe tu mvumilivu, mwenzio akiokota atakulipa.
 
Aaah baada ya hapo ndio ilibidi niwe na mawasiliano mujarab na mwalimu wake maana mambo ya "mama wewe hujui" siyataki tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maana wakati nimekazana na ile ya zamani akawa ananitazama tu usoni kama hanisomi hivi, ndio akaona mambo yasiwe mengi akanyanyuka na daftari lake[emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani kumbe ni wengi tunakumbana na haya.Nina ukaribu mno na Waalimu wake hadi wananisifia kuwa nafuatilia maendeleo ya mtoto kwa karibu kumbe mwenzao sitaki ile aibu ya kumkosesha mtoto tena.Nikiwa sipo nyumbani,namwambia kabisa Mwl nitumie kwa Whattsup,halafu namwelekeza Dada wa nyumbani amsaidie akishindwa,uzuri ni mara chache sana anahitaji usaidizi,mara nyingi anafanya mwenyewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani kumbe ni wengi tunakumbana na haya.Nina ukaribu mno na Waalimu wake hadi wananisifia kuwa nafuatilia maendeleo ya mtoto kwa karibu kumbe mwenzao sitaki ile aibu ya kumkosesha mtoto tena.Nikiwa sipo nyumbani,namwambia kabisa Mwl nitumie kwa Whattsup,halafu namwelekeza Dada wa nyumbani amsaidie akishindwa,uzuri ni mara chache sana anahitaji usaidizi,mara nyingi anafanya mwenyewe.
Haya mambo ya home work balaa tupu, inabidi mzazi uwe up-to-date ili mwende sawa. Lasivyo utamlisha matango pori mtoto.
 
Mwanangu kawa wa kwanza kati ya watoto 92. Hii shule ni ya kata. Mwaka jana ilitoa four na zero tu.
Nataka mwanangu aje avunje rekodi, atoe gundu kwenye hii shule, hainaga one,two au three, wao ni four na zero tu.
Ukipata four ya 26 wewe ndio genius.
mpeleke shule nyingine usije tia huruma hapa
 
Hao ndiyo unakuta darasa zima wamepata Div one. Wanakuwa wanazidiana point tu. Kwa wastani huo hata angekuwa wa 80 ni poa tu kwangu.
Yani ww ni muelewa sana, mm ni mwl ktk kitu tunapata shida na wazazi wakati wa matokeo ni wao wanaangalia position badala ya maksi na average aliyopata mtoto
 
Yani ww ni muelewa sana, mm ni mwl ktk kitu tunapata shida na wazazi wakati wa matokeo ni wao wanaangalia position badala ya maksi na average aliyopata mtoto
Mie nagombana sana na wife ya ikifika siku ya ripoti kazi kuuliza kawa wangapi mtoto basi mie hata sijishughulishi kawa wangapi mana dogo kila nikifata ripoti wastani A

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Ila hii kitu ni ngumu kukubali

Binti yangu nae ni kama Hana interest na shule kabisa
Ameniomba nimnunulie mdoli ajifunze kusuka
Pamoja na vitu vya makeup

She spends a lot of time doing her hair, nimeongea nimechoka

Anataka heels na magauni ya designs
Anaweza badili nguo hata mara mbili

Hata sielewi namfanyaje akaze shuleni
NIMEONDOA MANENO YANGU NA NIMEYAFUTA YALIYOKUWA NA KADHIA NA KULETA USUMBUFU KWA MEMBERS HUMU KUHUSU REPLY YANGU JUU YA MTOTO WA HORNET MNISAMEHE SANA, SANA SANA 'HORNET' NISAMEHE .....TUENDELEE KUFURAHIA "VITUKO VYA WATOTO NA RIPOTI ZA MATOKEO"
 
NIMEONDOA MANENO YANGU NA NIMEYAFUTA YALIYOKUWA NA KADHIA NA KULETA USUMBUFU KWA MEMBERS HUMU KUHUSU REPLY YANGU JUU YA MTOTO WA HORNET MNISAMEHE SANA, SANA SANA 'HORNET' NISAMEHE .....TUENDELEE KUFURAHIA "VITUKO VYA WATOTO NA RIPOTI ZA MATOKEO"

[emoji706]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Please wakopeshe Watoto,watakulipa hiyp December.Utoto bwana,umenikumbusha mdogo wangu nikiwa Secondary yeye yuko Darasa la kwanza aliniambia Dada nikopeshe shs 50,nikamuuliza utanilipa lini? Akajibu siku akiokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Wazazi niwakumbushe sana badala ya kuangalia mwanao kawa namba ngapi focus kwenye wastani. Yani angalia performance na sio position.

Maana anaweza kuwa wa kwanza kumbe anaongoza vilaza wenzake. Mfano anakuwa wa kwanza halafu ana wastani chini ya 50 hapo kuna nini sasa?
Hawa walimu wa siku hizi wahuni sana unakuta watoto sita wamegongana namba tatu
Hasa shule za private wana huu mchezo
Unajua eenhee ka junio kangu kana akili kumbe 😁😂
 
Back
Top Bottom