Vituo vya Mafuta hufanya nini na Risiti wanazobaki nazo?

Vituo vya Mafuta hufanya nini na Risiti wanazobaki nazo?

Kama huna mchango wa maana pita kimya kimya tu Mkuu hamna haja ya kumkejeli mtu, Anayeuliza anataka kujua, sio wote wana uelewa kama wako
Sasa iwapo wewe huelewi na hutaki kueleweshwa, basi kaa kimya.

Hakuna sababu nyingine za risiti kubaki vituoni zaidi ya wateja kuziacha.

Ingekuwa hazitolewi, basi tungewalaumu watoa huduma, lakini kama zipo kwenye dust bins, basi ni tatizo la mteja.

Mnakuwa na speculations zisizo na maana wakati makosa ni ya wateja.
 
Nimeona sehemu nyingi kwenye Vituo vya Mafuta kuna watu wakishanunua mafuta huwa hawachukui risiti, unakuta ndoo za taka au mabox yamejaa risiti za kutosha tu.

Huwa zinafanyiwa nini? Wanazipeleka wapi? Kuna sehemu nilisikia kuwa ni dili, anayejua undani wa hili atujuze.

Ngoja nikuulize mkuu...

Wewe unadhani wanatakiwa wafanye nini juu ya risiti zinazotelekezwa zaidi ya kuzikusanya kwenye hivyo vikapu vya taka?

Unataka waziache zizagae wakati mwenye jukumu la kuchukua risiti hajafanya hivyo?
 
Wanawauzia wahasibu na watu ugavi na ununuzi katika kuweka hesabu sawa ili kitumbua kisiingie mchanga
Kwamba wakaguzi wa hesabu huchukua risiti ilimradi?

Risiti halali kwa mkaguzi ni ile yenye namba ya gari husika ya taasisi anayoikagua.

Hakuna namna ambayo unaweza kuchukua risiti iliyotolewa kwa ajili ya gari nyingine(na mara nyingi hazina namba za magari) halafu ukapeleka halmashauri fulani na udai ni ya gari la serikali au taasisi nyingine yeyote iliyo chini ya ukaguzi.
 
Ngoja nikuulize mkuu...

Wewe unadhani wanatakiwa wafanye nini juu ya risiti zinazolekezwa zaidi ya kuzikusanya kwenye hivyo vikapu vya taka?

Unataka waziache zizagae wakati mwenye jukumu la kuchukua risiti hajafanya hivyo?
Zisitumiwe vibaya kama baadhi ya Wakuu walivyobainisha hapa, ziteketezwe
 
Ngoja nikuulize mkuu...

Wewe unadhani wanatakiwa wafanye nini juu ya risiti zinazolekezwa zaidi ya kuzikusanya kwenye hivyo vikapu vya taka?

Unataka waziache zizagae wakati mwenye jukumu la kuchukua risiti hajafanya hivyo?
Swali zuri sana hili.

Kuna watu wanahoji vitu vya kijinga sana.

Zile risiti anahisi sijui ni hela gani mule zipo!
 
Sasa iwapo wewe huelewi na hutaki kueleweshwa, basi kaa kimya.

Hakuna sababu nyingine za risiti kubaki vituoni zaidi ya wateja kuziacha.

Ingekuwa hazitolewi, basi tungewalaumu watoa huduma, lakini kama zipo kwenye dust bins, basi ni tatizo la mteja.

Mnakuwa na speculations zisizo na maana wakati makosa ni ya wateja.
Umesoma maoni yatu wengine na bado unakuja na maoni kama haya, wewe utakuwa kati ya wafanyabiashara hao wanaohujumu kodi za wananchi
 
Zisitumiwe vibaya kama baadhi ya Wakuu walivyobainisha hapa, ziteketezwe

Ndio wanazikusanya ili ziharibiwe baadaye endapo mwenye risiti hatarudia risiti yake...

Kumbuka kwa sheria ya mapato, mtoa huduma anapaswa kutoa risiti na mpokea huduma anapaswa kuchukua risiti...

Aliyepaswa kutoa risiti katimiza wajibu wake, lakini mpokea huduma kafanya ukaidi...
 
Umesoma maoni yatu wengine na bado unakuja na maoni kama haya, wewe utakuwa kati ya wafanyabiashara hao wanaohujumu kodi za wananchi
Kwa taarifa yako, pindi ukilipia huduma na risiti ikatolewa, basi ukae ukijua kwamba fedha imefika kwenye taasisi husika kihalali.

NB Mteja kuacha kuchukua risiti yake hakubatilishi huduma iliyotolewa kwa upande wa mtoa huduma, bali tatizo litakuwa upande wake mteja iwapo kuna mamlaka itamdai risiti ya hela aliyoitumia kununulia bidhaa au kupata huduma.
 
Swali zuri sana hili.

Kuna watu wanahoji vitu vya kijinga sana.

Zile risiti anahisi sijui ni hela gani mule zipo!
Watu kama nyinyi ndio mnafanya wizi uwe kawaida na mambo ya hovyo yaendelee kutokea nchini. Kama huna mchango wa maana pita kimya kimya Mkuu
 
Kwa taarifa yako, pindi ukilipia huduma na risiti ikatolewa, basi ukae ukijua kwamba fedha imefika kwenye taasisi husika kihalali.

NB Mteja kuacha kuchukua risiti yake hakubatilishi huduma iliyotolewa kwa upande wa mtoa huduma, bali tatizo litakuwa upande wake mteja iwapo kuna mamlaka itamdai risiti ya hela aliyoitumia kununulia mafuta.
🤣🤣🤣🤣 kazi kweli kweli, kwahiyo macho yako yameishia kusoma hapo tu kuchuakua ama kuacha riti? Michango ya member mengine yote kuhusu matumizi ya risiti hizo huoni? We utakuwa mmoja ya watu wanaofanya biashara hii. Pole Mkuu
 
Watu kama nyinyi ndio mnafanya wizi uwe kawaida na mambo ya hovyo yaendelee kutokea nchini. Kama huna mchango wa maana pita kimya kimya Mkuu
Hapana, huwezi kunizuia kusema kitu ambacho ninakijua ila wewe unajaribu kupotosha.

Ninaandika haya ili kila mtu aone na ajue ni nini kinajiri.

Siandiki vya kuambiwa bali ninafanya kazi za namna hii.

Anachojaribu kuandika na kutetea ni upotoshaji, na siwezi kuacha kukuambia ukweli.

Tafuta kazi ya kufanya acha kushupaza fuvu!
 
Ndio wanazikusanya ili ziharibiwe baadaye endapo mwenye risiti hatarudia risiti yake...

Kumbuka kwa sheria ya mapato, mtoa huduma anapaswa kutoa risiti na mpokea huduma anapaswa kuchukua risiti...

Aliyepaswa kutoa risiti katimiza wajibu wake, lakini mpokea huduma kafanya ukaidi...
Sasa hiki sicho kinachofanyika, ndio maana nilitaka kufahamau zaidi na Wakuu wamefunguka hapa kama ulivyoona
 
Hapana, huwezi kunizuia kusema kitu ambacho ninakijua ila wewe unajaribu kupotosha.

Ninaandika haya ili kila mtu aone na ajue ni nini kinajiri.

Siandiki vya kuambiwa bali ninafanya kazi za namna hii.

Anachojaribu kuandika na kutetea ni upotoshaji, na siwezi kuacha kukuambia ukweli.

Tafuta kazi ya kufanya acha kushupaza fuvu!
🤣 🤣 🤣 kwamba mimi napotosha na waliocomment ni watu wengine. Umeeleweka mtu, huna haja ya kujieleza sana, linda ugali kwa nguvu zote haijalishi unaharibu nini!
 
🤣 🤣 🤣 kwamba mimi napotosha na waliocomment ni watu wengine. Umeeleweka mtu, huna haja ya kujieleza sana, linda ugali kwa nguvu zote haijalishi unaharibu nini!
Tatuta kazi ufanye. Wivu na majungu hautakusaidia kupata kazi kama hiyo.
 
Wakuu kwema?

Nimeona sehemu nyingi kwenye Vituo vya Mafuta kuna watu wakishanunua mafuta huwa hawachukui risiti, unakuta ndoo za taka au mabox yamejaa risiti za kutosha tu.

Huwa zinafanyiwa nini? Wanazipeleka wapi? Kuna sehemu nilisikia kuwa ni dili, anayejua undani wa hili atujuze.

niliwahi kupata tunzo ya mfanyakazi bora wakati Fulani, nikapewa cheti na nikaambiwa niende kwa muhasibu kuna bahasha yangu pia.

Nilipoenda kwa muhasibu nikamuonyesha cheti, akanambia nenda kalete risiti ya kiasi fulani ata kama ni hamsini hamsini but make sure zinafika kiasi fulani cha fedha...

nikamuuliza ntazipata wap akanambia sheli, nikaenda sheli wakanipiga elfu5 nikachukua risiti zangu , nikapeleka kwa muhasibu nikapewa mkwanja wangu nkasepa...

So izo risiti ni deal 🐒🐒
 
Back
Top Bottom