Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Hao wanaofata haya makaratasi ni kakanjanja ya mtaaniWakaguzi wa hesabu huwa wanafata ada,bati,nk na sio hayo makaratasi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaofata haya makaratasi ni kakanjanja ya mtaaniWakaguzi wa hesabu huwa wanafata ada,bati,nk na sio hayo makaratasi yako
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.Ni ipi tofauti kati ya petro station na sheli hapa Tanzania?
Sasa yote haya, still kuna mtu hata sheli hajawahi kwenda kununua petroli anakuja kuchekesha hapa!
Zamani sawa kwa sasa sidhaniNajua kuwa kila gari ina account yake GSPA na kuna log book.
Ilà hizo risiti madereva wanakwenda kuzinunua zina kazi yake mkuu.
Labda kwenu TO mnoko hapo sawa ila jua tu bado kuna government drivers wana kazi nazo zile risiti
Hizi ni hearsay tu. Mbona huku Halmashauri za Wilaya hakuna kitu kama hicho?Najua kuwa kila gari ina account yake GSPA na kuna log book.
Ilà hizo risiti madereva wanakwenda kuzinunua zina kazi yake mkuu.
Labda kwenu TO mnoko hapo sawa ila jua tu bado kuna government drivers wana kazi nazo zile risiti
Wakuu kwema?
Nimeona sehemu nyingi kwenye Vituo vya Mafuta kuna watu wakishanunua mafuta huwa hawachukui risiti, unakuta ndoo za taka au mabox yamejaa risiti za kutosha tu.
Huwa zinafanyiwa nini? Wanazipeleka wapi? Kuna sehemu nilisikia kuwa ni dili, anayejua undani wa hili atujuze.
Sasa shida kama hawachukui risiti kwanini unahoji wanazifanyia nini?Hii ndio shida ya kukurupuka. Kunywa maji upunguze mihemko kidogo kisha usome vizuri kilichoandikwa na urudi kwenye mada Mkuu
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 kweli umekasirikaaa mkuu zilee n helaa watu wa ofisin wanaenda kuzinunua wanakabidhi mwisho wa mweziWakuu kwema?
Nimeona sehemu nyingi kwenye Vituo vya Mafuta kuna watu wakishanunua mafuta huwa hawachukui risiti, unakuta ndoo za taka au mabox yamejaa risiti za kutosha tu.
Huwa zinafanyiwa nini? Wanazipeleka wapi? Kuna sehemu nilisikia kuwa ni dili, anayejua undani wa hili atujuze.