Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Mtu ajichanganye atumie hela ya ofisi kwa kisingizio cha kununua mafuta, halafu aende kituoni akabebe risiti yeyote akapeleke kwa mkaguzišUkifika unaomba wanakupatia au? Unapata ya kwako au yoyote tu yenye kiasi unachotaka?