daruweshi97
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 464
- 49
Wewe jamaa ni mzima kweli au unatafuta comments za kutosha?
aisee.., is this really happening..!!!? sasa kwa nini asingechimba a mass grave.., it would have been easier..! hii itakuwa ni tambiko la 2015.., huwa wanahitaji vitu kama moyo.., ini, na sex organs mara nyingi bila kusahau damu.
wewe unaetetea kuwa miili hii imetoka imtu je ww ndio msemaji wao? Naje inawezekena vp wachune ngozi na kukata viungo? Acheni uchizi bana. Hadhi ya mwanadamu kwenye kizazi hichi haipo. Tunalaani na tunataka majibu stahiki. Sio mtupe majibu holela
CCm at work
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
hakuna fresh hapo, zote zimekaushwa