daruweshi97
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 464
- 49
Ninaweza amoni kuwa imetoka hospitalini kwa sababu imekaushwa bila kutowa harufu mbaya
Lau kama ingelikuwa ni wahalifu ingelikuwa ya harufu mbaya
Wasingeweza kuifazi miili yote hiyo
Ila hawajatumia utu kuifazi na kuistiri miili ya binadamu vizuri
Bora wangeizika badala ya kutupa
Lau kama ingelikuwa ni wahalifu ingelikuwa ya harufu mbaya
Wasingeweza kuifazi miili yote hiyo
Ila hawajatumia utu kuifazi na kuistiri miili ya binadamu vizuri
Bora wangeizika badala ya kutupa