Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 209
Unaonekana una hoja ila umeandika kwa dharau apo ndipo umeharibuHapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Labda kada zingine kuna raha.Mtu ni mwalimu anafunga shule mara 4 kwa mwaka,ana likizo na anatoka kazini saa 8.30 mchana na hana Kazi ya pressure,hiyo ni Kazi nzuri Sana.Kada ya ualimu mateso ni kazi pamoja na kutokuwepo kwa posho.
Huko ndiyo usiseme! Kwenye Afya kazi ni wito.Hata Kilimo ni hivyo hivyo,sema Kilimo unakuwa na muda mwingi wa kufanya ishu zako.Afya sijui mambo yakoje.
Kilimo Mambo yakikubali,unapata zaid ya laki 3 nje ya mshahara,mitoko yenye hela mingiHata Kilimo ni hivyo hivyo,sema Kilimo unakuwa na muda mwingi wa kufanya ishu zako.Afya sijui mambo yakoje.
Sijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.Unaonekana una hoja ila umeandika kwa dharau apo ndipo umeharibu
Kwanini unachukia ualimu?Ualimu = dekio la ccm
Iyo ya walimu wa sayansi imeanza lini tena wakuu ??Hata kama ni hivyo:
TGS E ni Tsh 751,000.
Hapo umesoma sheria miaka 4 na mwaka 1 tena school of law.
Mwalimu ( Arts ) kasoma miguu juu miaka 3 tu, anakunja Tsh 716,000 Gross.
Na Mwalimu ( sayansi ) anaanza na TGTS D3 Ambayo 750,000 sawa tu na hiyo TGS E.
Narudia walimu hawana mishahara midogo
Hata walimu wana dili zao. Mimi nina marafiki zangu wawili, kila mwaka wanaenda Marking wanarudi mpaka na 2M.Kilimo Mambo yakikubali,unapata zaid ya laki 3 nje ya mshahara,mitoko yenye hela mingi
Imeanza mwaka huu. Ajira mpya zote za mwaka huu wameanza hivyo.Iy
Iyo ya walimu wa sayansi imeanza lini tena wakuu ??
Sawa mkuu ,tuombe mamlaka husika zisikie kilio cha wafanyakaz hususan kwenye mishaharaSijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.
Kuna kada wakikuonesha mishahara yao mpaka unawahurumia, lakino hawalalamiki kama walimu.
Kuna watumishi wa mahakama tena wana Diploma kabisa lakini wanalipwa TGS B.
Hakika.Sawa mkuu ,tuombe mamlaka husika zisikie kilio cha wafanyakaz hususan kwenye mishahara
Kwa wanao ajiriwa kwa sasa au watagusa mpaka walio ajiriwa zaman ??Imeanza mwaka huu. Ajira mpya zote za mwaka huu wameanza hivyo.
Yani ao ndio sitaki hata kuwasikia kwakweliiiiHakika.
Pia vyama vya wafanyakazi kukata mishahara kwa lazima ni tatizo jingine kubwa sana.
Nadhani ndio scale zilizopo sasa hivi, na walipo kazini wanatakiwa kurekebishiwa.Kwa wanao ajiriwa kwa sasa au watagusa mpaka walio ajiriwa zaman ??
Kikubwa wajiongeze tu,maana wana muda mwingi sana wa kuwa free,tofauti na kada zingine!!Labda kada zingine kuna raha.Mtu ni mwalimu anafunga shule mara 4 kwa mwaka,ana likizo na anatoka kazini saa 8.30 mchana na hana Kazi ya pressure,hiyo ni Kazi nzuri Sana.
Mama ametufuta machozi yule mwamba(jpm)alitufanya watumishi tukose tumaini.TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Bado,tuliaSalary vipi jamani[emoji26]
Labda kada zingine kuna raha.Mtu ni mwalimu anafunga shule mara 4 kwa mwaka,ana likizo na anatoka kazini saa 8.30 mchana na hana Kazi ya pressure,hiyo ni Kazi nzuri Sana.