Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mimi jobless wa kimataifa 😂😂, Ila ikiwa implemented ni zaidi ya fortuneDo that please uniokote huku jalalani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi jobless wa kimataifa 😂😂, Ila ikiwa implemented ni zaidi ya fortuneDo that please uniokote huku jalalani
Watu wenye akili hii ndio huwa mipango yaoMimi jobless wa kimataifa 😂😂, Ila ikiwa implemented ni zaidi ya fortune
Unadhani mtu wa hivyo anakua hajui anachokifanya? Na yeye unakuta hana uhitaji wa mtu mwenye malengo so anaona ni kheri apate chake mapema.Shida sio kwetu shida ni kwao watajikuta wanapoteza mtu mwenye malengo kisa kuendekeza njaa ya pesa
Wacha tuone itakavyo kuwaWatu wenye akili hii ndio huwa mipango yao
Inategemea sasa tajiri mkuu...Hamna tajiri asiyeithamini shilingi kumi yake
How would you know the standards before/ without shooting your shot?
Ila hizi mada mbona zimeshika kasi sana siku hizi?
🤣🤣🤣🤣Yaani nimechekaUsi jifanye huelewi😁, nataka tuunde msingi imara 😁😃.
👉Nita tulia mnoo, hebu niongoze- achana na wachawi kina Ivan Stepanov Wana tumika na ibilisi kuni chafua 🤣🤣😃
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Ahahahah.. zingatia sentensi ya pili kwenye heading ya uzi.
😂😂😂😂😂
Hela uliyoitafuta kwa jasho inauma sana
Umemaliza kila kitu mkuu.Nafikiri siku hizi kudanga imekuwa fashion, ile aibu ya kuomba pesa, kwa wengi, imetoweka.
Wakati una shoot your shot unamsoma mtu, unamsikilizia falsafa zake zikoje.
Unapofanya interview kuomba kazi na meneja anayekufanyia interview nawe unamu interview kuona kama hii kazi itakufaa.
Kwa mfano, kama wewe stories zako ni za stocks na investment, real estate na bonds, halafu mwanamke anakuletea stories za Kajala na Shishi Baby, na unaona huyu hata utashi wa kufundishwa hana, na wewe unataka mtu wa kujenga naye business empire, ni wazi hamtaendana.
Sasa ukilazimisha kuwa naye, wakati tangu mwanzo kakuonesha upande wake, wewe ukang'ang'ania, hapo kosa ni lako.
Ukiona hamuendani, unambwaga.
Wanawake mbona wako wengi sana tu?
Sasa tatizo vijana wanaona kama ligi, kila mwanamke lazima umpate, hata kama hamuendani.
Mimi nilivyokuwa natafuta actively bado, nilikuwa nafuatilia wanawake, baadhi naona hatuendani, nawamwaga, inakuwa wao ndio wananifukuzia mimi, na hawanipati.
Ukitaka kula kila kitu, utakula mpaka sumu.
Shida sana wengi mentality yao sijui imekaaje anawaza kuvuna tu kutoka kwako sasa wewe omba hata ya kuazima sasa , utasikia hee mwanaume mzima unaomba hela kwa mwanamke huna hata aibu. Apo huna mtu hama kabisaMkuu au hafikirii mbona kaka zake hawana pesa au Baba yake.
Hapa Kiranga nakupa 💯Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
Hii ni kauli ya kujipa umuhimu, we unajuaje huyo mwanamke anataka mtu mwenye malengo?Shida sio kwetu shida ni kwao watajikuta wanapoteza mtu mwenye malengo kisa kuendekeza njaa ya pesa
Ndio maana ya uchumba kwanza then ndoaHow would you know the standards before/ without shooting your shot?
Ila hizi mada mbona zimeshika kasi sana siku hizi?
Asikudanganye mtu. Ndoa zetu zina matatizo yale yale kama nyie makafir. Sema tu sisi leo unamwacha kesho unaoa mwingine. So naye anakuww anogopa na taraka ni haki yake. Akizingua either namwacha au naoa mwingine.Kuoa wake wengi waliona mbali mke mmoja humuwezi bila competition.
Jiulize kwann ndoa za Kikristo ndio zinazosumbua zaidi kuliko za waislamu
Tena ifike muda wawe wakali, mama mdogo si muhusika katika mapenzi yenu.Hahaha et mama mdogo ana fibroids 😂😂😂 aisee mm sitoi hela hio an,
Mama mdogo ana siblings wake, ana mume/ mpenz wake,, ana ndugu zake kibao, siingilii kesi mm
Tatizo wengi wanapenda kupitiliza hatakama wanaumizwa.Kweli.
Kama mtu una discernment, si vigumu kumbaini mtu ni wa aina gani kupitia maongezi tu ya kawaida.